Sanaa ya kifo

Unajua kaka kuna vitu vingine au kitu kingine hakiwezi kusimama bila kitu kitu kingine ndio kama ilivyo kwa kifo huwezi kukielezea kifo bila imani kaka.

Na ukijaribu kutenganisha lazima utakosea kama ulivyokosea katika baadhi ya nukta.

Kwanza lazima ujue kabisa ya kuwa KIFO ni kiumbe kama kilivyo kiumbe UHAI.
 
Kifo sio kiumbe ....na wala kifo sio mchakato....bali kifo ni mwanzo wa safari ndefu isiyo na mwisho
Ili kiambishi cha kifo kilete maana inabidi kuwepo na muunganiko wa vitu viwili
1. Mwili jumba uharibikao
2.pumzi roho yenye uhai isiyo na mwisho
Ili kifo kitokee ambacho ni kitendo cha roho kutengana na mwili inabidi kwanza kuwe na muunganiko wa hivyo viwili
Kilichopo hapa ni ziraili ama malaika wa kifo ama mtoa roho anayefanikisha mchakato mzima kuelekea mwanzo wa kifo usio na mwisho...kwahiyo kifo kama kifo sio kiumbe na sio jambo lenye tamati kiroho ama kimwili
 
Hapa sasa ndio somo linapo anzia. Kifo ni kiumbe na kilianza kifo kuumbwa kisha ukaumbwa Uhai.

Kuliltea swali kuhusu KIUMBE ROHO" nilikuwa na maanisha na huo ndio ulikuwa ni wakati wake.

Nilichokiona hapo ni ufahamu wako mdogo juu ya tamko KIUMBE.
 
Hapa sasa ndio somo linapo anzia. Kifo ni kiumbe na kilianza kifo kuumbwa kisha ukaumbwa Uhai.

Kuliltea swali kuhusu KIUMBE ROHO" nilikuwa na maanisha na huo ndio ulikuwa ni wakati wake.

Nilichokiona hapo ni ufahamu wako mdogo juu ya tamko KIUMBE.
Ok sawa asante kwa mtazamo hasi
 
Nani sasa unaye msema
 
Hivi kuna uhusiano gani kati ya kupata 'haja' wakati wa kuzaliwa pia na wakati wa kukata roho?

**Naruhusu kurekebishwa.
 
Kifo ni adhabu,
Ila inabidi tukitarajie tu hakuna namna ya kukikwepa.
Watu wanaogopa kifo kwani hawajui wapi watakwenda baada ya kufa.
 
tatizo sio kufa watu tunaogopa moto(motoni) ndo maana tunaogopa kifo kwasababu huwezi fika huku na mwili wa nyama inabidi ufe kwanza?
 
tatizo sio kufa watu tunaogopa moto(motoni) ndo maana tunaogopa kifo kwasababu huwezi fika huku na mwili wa nyama inabidi ufe kwanza?
Roho haifi... Dhana ya moto ni pana sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…