Samweli Sitta ni Mgonjwa

Samweli Sitta ni Mgonjwa

Status
Not open for further replies.
wewe ni mkwepakodi hivyo hufai kabisa kwakuwa unahujumu taifa kwa tabia hiyo. usimlaumu mzee hasa katika kipindi ambacho anapigania uhai wake. taifa sio lako pekeyako au na kikundi chako. katiba ile ni mbaya kwako lakini nzuri kwa wengine na huenda ni wengi zaidi. masuala ya katiba ni demokrasia na maridhiano pia. hakuna alichoandika pekeake mule watu wengi walishiriki na wengine wakaona kazi ngumu wakatoka nje kunywa kahawa, wakawekewa kilevi wakalewa muda wote mpaka katiba ikapatikana na tunasubiri kura ya maoni.... sisi tunamuombea sitta kamamtanzania mwenzetu na kiongozi mahiri aliyetoa mchango mkubwa katika maendeleo ya taifa hili
Haya nimemsamehe RIP mzee sitta
 
Kuna kitu ninajifunza; unapokua kiongonzi kuna watu wanakupenda na kuna watu wanakuchukia hasaa. Ila "mlipaji ni mola". RIP S. S.
 
Kuna kitu ninajifunza; unapokua kiongonzi kuna watu wanakupenda na kuna watu wanakuchukia hasaa. Ila "mlipaji ni mola". RIP S. S.
Mim nimejifunza kuwa matendo yako ndyo yanakufanya upendwe au uchukiwe...
 
Wakuu habari hii imeandikwa na gazeti la Tanzania Daimaa, Aliyekuwa spika wa bunge la 9 Ndugu Samweli sitta ni mgonjwaa mpaka kutoweza kutembeaa. Mke wake adai anaendelea vizuri.

.
Bado naendelea kulisoma nilete habari kamili

20160913_043403.jpg


My take..
Sijui kama serikali inalijua hilii
Na nina hakika kuanzia kesho au leo tutaanza kuona misafara ya viongozi kumtembeleaa kwa unafiki uliotukukaa

=======
Mbona gazeti limeandika hicho hicho?
 
Daah aiseee JF kiboko, yani watu walishamuombea mabaya hata kabla ya kifo chake, au ndo ile kauli ya kwamba sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.
 
Mim nimejifunza kuwa matendo yako ndyo yanakufanya upendwe au uchukiwe...
na ukumbuke kuwa, uwe dhaifu au bora namna gani,huwez pendwa au kuchukiwa na wote duniani

Mungu ndo wakumchukulia na kum'Judge mtu

jukumu letu kwa wanaotutangulia ni kusema R.IP. tena kwa nia ya dhati kabisa mioyoni mwetu

Only that.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom