Luharamula
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 495
- 333
Sina huruma naye huyu mtu, ndo katusababishia shida yote hii tuliyonayo leo, yeye kama vipi akate kamba tu, hana mchango wowote ktk nchi hii zaidi ya kututengenezea majanga.
Kwahiyo asiende Hospital? Wamissionali waliharibu akili sana za watu...Polw Mzee wetu Bwana Yesu akuponye
Mambo gani mkuu?Mambo yamekuwa mambo
Kwani yeye ni mwana wa kwanza wa mungu kufa?ni swala la wakati tu,akitanguli poa na kama ametenda upuuzi asubiri mioto tuSina huruma naye huyu mtu, ndo katusababishia shida yote hii tuliyonayo leo, yeye kama vipi akate kamba tu, hana mchango wowote ktk nchi hii zaidi ya kututengenezea majanga.
Aisee kuna tetesi umezinyaka nini ? Maana chini ya kapeti jana alikua asafirishwe kwenda Ujerumani sijui wameishia wapiWakuu heshima sana,
Leo nimejikuta namkumbuka mwenyekiti wa bunge la katiba aliyewapigisha kura wajumbe waliokwenda kuhiji Makkah Bwana Samwel Sitta.
Taarifa za hivi karibuni zilionyesha Mzee Sitta alikuwa mgonjwa sijui hali yake inaendeaje.Majuzi alitimuliwa kwenye nyumba ya serekali sijui kama alishapata makazi mapya au kaamua kuishi hotelini kama wale majaji wateule waliokosa nyumba za kuishi baada ya kuuzwa na serekali ya awamu ya tatu ya Mzee wa Ukweli na uwazi.
Nawasilisha.
Kosa lile la kuchafua katiba yetu sijui kama nitakuja kumsamehe, labda akiwa kaburini ndiyo naweza kumsamehe
tiririka mkuuKuna tetesi ila naogopa
Nameless alimuimbia manzi hiyo ,wewe mdanganye mwenzako tutiririka mkuu
commit a crime i'll be your defender
wewe ni mkwepakodi hivyo hufai kabisa kwakuwa unahujumu taifa kwa tabia hiyo. usimlaumu mzee hasa katika kipindi ambacho anapigania uhai wake. taifa sio lako pekeyako au na kikundi chako. katiba ile ni mbaya kwako lakini nzuri kwa wengine na huenda ni wengi zaidi. masuala ya katiba ni demokrasia na maridhiano pia. hakuna alichoandika pekeake mule watu wengi walishiriki na wengine wakaona kazi ngumu wakatoka nje kunywa kahawa, wakawekewa kilevi wakalewa muda wote mpaka katiba ikapatikana na tunasubiri kura ya maoni.... sisi tunamuombea sitta kamamtanzania mwenzetu na kiongozi mahiri aliyetoa mchango mkubwa katika maendeleo ya taifa hiliKosa lile la kuchafua katiba yetu sijui kama nitakuja kumsamehe, labda akiwa kaburini ndiyo naweza kumsamehe
sasa warioba ni mtanzania pekee/ katiba yake inatuhusu nini sisi wote? hebu weka sentence vizuri....Katiba ya Warioba ilibakwa hadharani mchana kweupee! Hamna aliyejali