Samwel Sitta: Tanzania iko tayari kupambana na aina yoyote ya uchokozi kutoka Malawi!


mi nmegundua kitu kimoja nduguzanguni.upinzani ukizidi sana mwisho mtu unakua KILAZA....sababu ishu ndogo tu utaigeuzaaa ili mradi iwe ya kipinzani.elewa kwanza then ndio ulete hoja.sometimes unaweza hata kuiweka hii thread kikuliza kua mh.sitta alikua anakusudia nn?kuuliza c uhuni wakuu.
 
Mkuu njiwa tangu umejiunga na JF 16 April 2009 hakuna bandiko la maana kuliko hili Bravo Njiwa.
Na alivyojibu Njiwa ndivyo tunavyopaswa kuwa JF Members wote ambao tunajitambuwa, nimemgongea Like lakini Error occurred.
Safi sana. What i can say, Matola says thanks for this useful post.
 
Wakuu hii issue ni nzito ingawa sitegemei izidi ile ya Nduli enzi za Mwalimu. Hata hivyo, sio busara sana ku-under estimate nguvu za hawa jamaa kama tulivyozoea kuchezea ile midebwedo ya pale ng'ambo. Malawi ni dola kamili na hatuwezi kujua wamejiandaa vipi.

Naweka vizuri kale ka cheti kangu ka Makutupora JKT nikisubiri kwa hamu kuitwa front-line kuipigania nchi yangu. Mungu akiwa upande wetu nani atakuwa juu yetu?

Mungu Ibariki Tanzania; Linda na Mipaka Yake. Amen.
 

Mkuu unajiaibisha tu hapo!!
 
Waache wachukue kwani sisi linatusaidia nin,nchi la kipumbavu hili..
 
Final 6 umevunja ukimya I like it kwa kuwaonya Malawi japo mtoa hoja kapotosha kuwa ametangaza vita. Big up 6
 
Crisis is it real or diversionary tactic kutupumbaza kusahau matatizo ya ndani ya nchi?
 

Njiwa,

Ndio maana niliweka bandiko kule nyuma hawa Wamalawi they are arrogant imbecile na ndio maana mnakaa nao katika meza wanasema hili. Wakitoka kurudi kwao wanasema lile. Sasa wafahamu enough is enough hatuwezi kuchezewa masharubu mwanaume mzima ukakaa na kubaki unacheka. Na nimesisitiza Mheshimiwa Rais wetu afahamu ijapokuwa tunatofautiana kiitikadi na kisiasa but linapokuja suala la nchi uzalendo wa kulinda nchi yetu tuko pamoja naye kinguvu kazi na kimaarifa. Tanzania ina jambo moja inajivunia tuna umoja wa hali ya juu hatubaguani na hilo mtu wa nje akituchezea ndio ataliona wazi wazi. Tunalinda nchi yetu kwa lolote.
 
 
Wacha amsaidie Pinda na bosi wake. Pinda angeishia kupiga porojo tu na bosi wake angepiga smile tu ili picha zitoke vizuri kwenye magazeti.
 


Mdondoaji, nakubaliana na wewe kabisa. Hapa watanzania wote tunatakiwa kuungana na kukomesha huu uhuni wa Malawi. Serikali iweke kambi ya nguvu huko Kusini na kama issue ni bora wananchi tukachanga ili kuwezesha hili.
 
Kauli ni safi na ya kishujaa ambayo the chicken jk hawezi kutamka, na sidhani kama sitta katamka kwa kukurupuka but after consultation na ni vema amesema hivyo ili kuonesha tunajali mipaka yetu na tuko tayari kutetea, amiri jeshi mkuu jk alitakiwa aseme kabla but unfortunately he is too chicken even to give a bluff! Bravo mr. Zambi kwa kuibua hoja maana suala hili lilikuwa linatuumiza wengi!
 
Mkuu mbona hufundishiki?wenye busara wamejaribu kukuelewesha lakini unang'ang'ania hapo hapo ulipojikwaa! Kauli ya Tanzania iko tayari kupambana na uchokozi wowote toka Malawi si kutangaza vita hata kidogo kwani haiwezi kuidhinisha matumizi ya fedha kugharimia vita wala kuruhusu matumizi ya silaha na lojistics za Jeshi.
 
Naona yuko bize kutafakari gazeti jngine la kulifungia na jinsi ya kum-ulimboka "mchochezi" wa mgomo wa walimu.
Nasikia juzi wahariri (Wenye njaa?) walitii "amri" ya kwenda Magogoni "kumpongeza" kwa hatua aliyoichukua dhidi ya mwenzao. Cheja na njaa veve?
 


Sasa mkuu, Malawi wakisema tuko tayari kupigana vita kuhakikisha ziwa Malawi niletu. Tusiichukulie kijuu juu hiyo kauli ya cta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…