Samwel Sitta: Tanzania iko tayari kupambana na aina yoyote ya uchokozi kutoka Malawi!

Amesema kuwa " wananchi wa Mikoa ya Mbeya,Iringa na Ruvuma wasiwe na wasiwasi kwani Tanzania iko tayari kupambana na uchokozi wowote ule kutoka kwa Malawi"

Hii ni kauli nzito ya kuashiria kuwa tayari kwa mapambano na Malawi ni kauli ya kutangaza Vita na ni kinyume na katiba angeweza kusema kuwa tuko macho na tunafuatilia kinachoendelea ila kusema tupo tayari kwa mapambano na uchokozi wowote ni vita hiyo......huku ni kutangaza na sio kwamba namlisha maneno./
Wewe mbona uelewa wako mdogo.....hiyo kauli kaitoa kuwatoa hofu wananchi wa huko ili wajue serikali yao inawlinda na iko tayari kuwatetea kwa njia yoyote...sasa vita hapo imetangazwa vipi? Au labda umeshasikia jeshi limeanza kwenda huko...Usikurupuke!
 
Malawi wanataka Lake Nyasa ambalo wao wanaliita Lake Malawi liwe lao lote,, wanasema Watanzania wana maziwa mengi sana pamoja na bahari ya Hindi so its better tuwaachie Lake Nyasa/Malawi liwe lao 100%.. So they started exploration ya mafuta na gas mpaka wanakaribia kuingia Mbinga sasa..

Halafu eti wanasema mipaka ya Malawi imeishia Kyela kwa maana hiyo hata akina Mwakyembe ni raia wa nchi yao.
 
Mimi naishi mbeya mitaa ya Soweto karibu kabisa na barabara itokayo Zambia, yamepita magari zaidi ya 12 yanaukubwa wa ajabu yakiwa yamejaza wanajeshi na mengine yalikua yamepigwa turubai so sikujua ndani kuna nini yalikua yakielekea Uyole ambako kuna njia panda ya kwenda Kyela.
 
Kwa kweli linapokuja suala la utaifa nitaungana na kina Nchemba, Lusinde, Shibuda, Slaa, Nape, Maalim Seif Mrema Nape na wengine kuitetea nchi yangu. Hatuwezi kuchezewa. Nampongeza 6 kwa kauli ila nishauri serikali imaanishe. Naapa kuipigania nchi yangu Tanzania. Watanzania tusiruhusu huu uendawazimu wa Malawi kwa kuendekeza itikadi. TOGETHER WE CAN HOLD OUR BELOVED TANZANIA. MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Acheni woga wa kijinga,huyo mmalawi atapewa kichapo cha mbwa koko,hii nchi ni ya wamarekani,waingereza,makaburu na waarabu.achane woga akinyanyua mdomo tu mmtaona madege na mijimeli ya ajabu kutoka pande zote za dunia,mshauzw kumbe sikunyingi kumbe hamnaga habari.laleni kwa amani kwani vita tutashinda kwa hisani ya watu wa marekani.alafu unaweza kuta ni janja ya chichiemu kuhamisha akili za watanzania kwani tumekua ni watu wa kwenda na muvu,kila siku tunaletewa matukio mapya na hakuna hata moja tunafuatili na kulimaliza.tulieni jamani vita vikianza hata kwa hisani ya muaarabu tuatasikia safari hii,
 
Nimeshtushwa na tamko ambalo amelitoa muda huu bungeni kuwa Serikali ya Tanzania iko tayari kwa uchokozi wa aina yeyote kutoka Malawi na ametoa tamko hilo kama kaimu waziri Mkuu .

Tamko hili kalitoa kwa niaba ya Serikali sasa hii ni hatari kama Kaimu waziri Mkuu anaweza kutangaza vita na hii ni kinyume na katiba yetu mwenye mamlaka hiyo ni Rais ambaye ni Amir Jeshi Mkuu.
Asante Mzee Sita Tumisha vijana hao kulinda nchi yao wale walio pigana Uganda hatukuwa na chakuwapa badala yake tukawapa asante na nishani
za shaba hawa tutaweza kuwapa Tanzanite.
 
kwani wewe unaogopa vita au unaogopa kutangaza vita?? acha ujuha Sitta ni kiongoz anejua sheria sasa wewehata chekechea hauna unakaa kulalama tu hapa kalale kama hauna la kuchangia..kauli ya sitta ni sahihi
 
Jamani hebu uchunguzi ufanyike kwa nini Malawi wanadai Ziwa lote in la kwao? Nimeshangazwa leo baada ya kuone moja ya ramani za Tanzania zinazo uzwa mitaani na " maching guys" mipaka katika Ziwa Nyasa imepita ukingoni mwa ziwa tofauti na mipaka ilivyo kwenye Ziwa Tanganyika. Jee Mmalawi akinunua ramani kama hiyo huoni ni kichochezi?

Mamlaka inayohusika ichunguze hizi ramani na kuziondoa kwa sababu zinapotosha hata kwa jamii ya kitanzania achilia mbali watalii amboa tunategemea waitangaze Tanzania!
 
huyu mzee anaropoka sana ..sijui anakuwa amelewa ndo anaingia bungeni? hana maamlaka at all ya kuongea na kutoa kauli hizo...anyway ni kwa kuwa nchi yenyewe iko valuvalu watu wanawaza futari tu therefore hakuna mtu wa kudhibiti haya

Hapana ndugu yangu hakuropoka kama unavyodai. Mzee Sitta alikuwa anakaimu uwaziri mkuu wakati akiongea. Alitoa maelezo hayo kama kiongozi wa shughuli za serikali bungeni na alifanya hivyo kufuatia maombi ya muongozo yaliyotolewa na Mbunge Zambi kuhusu msimamo wa serikali juu ya madai ya serikali ya Malawi kuwa ziwa Nyasa lote ni mali ya Malawi na hivyo mpaka wa Malawi na Tanzania upo ufukweni mwa ziwa hilo. Kwa hiyo alichoongea ni msimamo wa serikali na siyo mawazo yake binafsi kama Sitta.
 
Acheni kuwachonganisha viongozi huyu alie andika ni mchonganishi ila nilazima ajuwe mawaziri wote kazi yao ni moja na serikali inafanya kazi kama team, JK Hawezi endesha nchi peke yake, pia huu sio muda wakutafuta nini kasema ila tusubiri baraza la mawaziri na watu wa usalama ndani ya jeshi wakae na rais then tutapata majibu cha msingi tuwe na imani na serikali yetu, thx
 
Amesema kuwa " wananchi wa Mikoa ya Mbeya,Iringa na Ruvuma wasiwe na wasiwasi kwani Tanzania iko tayari kupambana na uchokozi wowote ule kutoka kwa Malawi"

Hii ni kauli nzito ya kuashiria kuwa tayari kwa mapambano na Malawi ni kauli ya kutangaza Vita na ni kinyume na katiba angeweza kusema kuwa tuko macho na tunafuatilia kinachoendelea ila kusema tupo tayari kwa mapambano na uchokozi wowote ni vita hiyo......huku ni kutangaza na sio kwamba namlisha maneno./

Hapa umetumia masaburi....
 
Nimesoma hizo comments za Wa-malawi zimenisikitisha sana. Hivi haka ka-Banana republic kanapata wapi UJASIRI wa kusema kwamba kako tayari kuingia VITA na Tanganyika?

Hili tamko la SITTA ni la kupongezwa na limekuja wakati limechelewa. JK inabidi atoe strong warn to Malawi. Mimi sipendi approach ya Membe, He is so SOFT. Kama ni Vita twenda bwana siyo kubabaishwa na haka Ka-Banana republic kanako ongozwa na Mwanamama (no disrespect to women)
 
Nimesoma hizo comments za Wa-malawi zimenisikitisha sana. Hivi haka ka-Banana republic kanapata wapi UJASIRI wa kusema kwamba kako tayari kuingia VITA na Tanganyika?

Hili tamko la SITTA ni la kupongezwa na limekuja wakati limechelewa. JK inabidi atoe strong warn to Malawi. Mimi sipendi approach ya Membe, He is so SOFT. Kama ni Vita twenda bwana siyo kubabaishwa na haka Ka-Banana republic kanako ongozwa na Mwanamama (no disrespect to women)
 
kwa hilo hap wanachokoza ...ila in other word wacha wachimbe sisi mboyoyo nyingi hatuwezi hata kuchimba ila wasiingie kwetu nchi kavu

tatizo siyo nchi kavu, tutwaambia nini wale watu millioni kadhaa kule wanaotegemea ziwa? yaani maji unayaona hayo hapo ukitaka samaki unaomba kibali Lilongwe...upuuzi usiokubalika
 
Bunge ndio linaidhinisha vita, sio Rais

Dah! Inaniwia vigumu sana kuamini kwamba kuna siku Mwigulu na Lusinde wanaweza ku-participate kwenye kuidhinisha issue nzito kama hiyo tena mjadala ukiendeshwa kishabiki bila reasoning yoyote. Mungu apishe mbali vita isitokee kipindi cha Bunge hili.
 
Cold war over Lake Malawi continues: Ghost of Kamuzu, Nyerere revisit Malawi

Malawi: 2012, July: "But our terms are clear on this. According to the 1890 ecoland agreement between Britain and Germany, the border between Malawi and Tanzania is the edge of the waters of Lake Malawi. So we are very clear about that but we will continue to engage with Tanzania as a good neighbour," Patrick Kabambe, Principal Secretary, Principal Secretary in the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation, Malawi quoted by Malawi's Daily Times.
Tanzania: 2012, July: "We don't want Tanzanians to ask for permission from Malawi to fetch water or fish from Lake Nyasa. If we don't reach a consensus, we will take recourse in international law." Tanzania‘s Attorney General Judge Frederick Werema, responding to a concern from the Member of Parliament for Mbeya Region (special seats), Hilda Ngoye.
Ms Ngoye had charged that the Malawian tourists and fishing boats have been trespassing on Tanzanian territorial waters at will, https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...zania-malawi-row-over-lake-nyasa-again-5.htmlescalating tensions.
"Tanzanians around Lake Nyasa's shores have the right to fish or engage in other productive activities on the lake, without being intimidated," she had told the Tanzanian parliament, demanding an explanation from the government on the status of the border between Tanzania and Malawi.
nyerere_receiving_kamuzu_banda-300x243.jpg
Kamuzu and Nyerere
The gist of the dispute:
T he dispute is about who owns what is, as far as Malawians are concerned, Lake Malawi and as far as Tanzanians are concerned, Lake Nyasa.
According to Malawi, this isn't even a subject for debate. Malawi owns 100% of Lake Malawi and if we are to go by the vision of Malawi's founding president, Dr. Hastings Kamuzu Banda, Malawi just like its predecessor the Maravi Kingdom should in facthttp://www.iss.org.za/pubs/Books/Evol_Revol Oct 05/Chap5.pdf extend to some parts of present day Tanzania and even Mozambique.
According to Tanzania on the other hand, the lake is shared and the <span style="text-decoration: underline;http://edocs.nps.edu/npspubs/scholarly/theses/2011/June/11Jun_Msafiri.pdf boundary of these two neighbouring countries should follow the median line in Lake Nyasa.
This is the official stance of the Tanzanian Government hence any Malawian activity beyond this line are deemed "trespassing". The Historical Context; This dispute traces its origin to the Berlin Conference, and trouble is rooted in the Berlin Act of 1885, that was signed by the 13 European powers that attended the conference that formalised the BBC - History - British History in depth: Slavery and the 'Scramble for Africa'
Scramble for Africa
According to documents on the demarcation of the border around Lake Nyasa encapsulated by the Anglo-Germany Treaty of July 1, 1890 &#8211; verbatim &#8211; the border runs as below:"To the south by the line that starts on the coast of the northern border of Mozambique Province and follows the course of the Rovuma River to the point where the Messinge flows into the Rovuma. From here the line runs westward on the parallel of latitude to the shore of Lake Nyasa. Turning north, it continues along the eastern, northern, and western shores of the lake until it reaches the northern bank of the http://germanhistorydocs.ghi-dc.org/pdf/eng/606_Anglo-German Treaty_110.pdf"mouth of the Songwe, Tanzania, of course, doesn't agree with this, with Tanzanian scholars calling this demarcation http://edocs.nps.edu/npspubs/scholarly/theses/2011/June/11Jun_Msafiri.pdf.
Put to Kamuzu Banda by Tanzania's Julius Nyerere that the map between independent Malawi and Tanzania should follow the median line, in his unique blunt style Dr. Banda responded as below: "We will never recognize or accept this claim: we will never agree to the suggestion or proposal. The Lake has always belonged to Malawi&#8230;.Everyone knew Nyerere as a coward and communist inspired jellyfish: We know while pretending to be a staunch supporter of the OAU, Nyerere is the worst agitator and betrayer of the cause for which the Organization was formulated. History, geography or even ethnical knowledge will convince Nyerere that four districts to the South of Tanganyika belong to us by nature. It is only that we respect the feasible unification of Mother Africa that we do not claim these districts. All that we are doing is setting [sic] historical truth."
Dr. Banda in 1962 reinforced his claim in addition to the authority of the Anglo-Germany Treaty of July 1, 1890 with some maps from the "http://www.societyofmalawi.org/talks/nationalarchives.pdf. He even went as far as suggesting to Mwalimu Julius Nyerere that a part of http://www.ajol.info/index.php/asr/article/viewFile/23256/19939Mozambique was supposed to be part of Malawi&#8211; then still Nyasaland.
But as is usually case in any dispute, Tanzania is equally able to produce maps that show the median as the boundary, but such maps have never disputed the contents and spirit of the Anglo-Germany Treaty of July 1, 1890.
Pre-Independence Treaties and the Lake Malawi /Nyasa dispute:
The reason this dispute will not disappear any day soon is rooted in Malawi's and Tanzania's divergent views vis-à-vis pre-independence treaties including the Anglo-Germany Treaty.
Julius Nyerere, as the first Tanganyika Prime Minister, prepared a policy document for implementation after independence in which the Secretary-General of the United Nations was informed thus:
"As regards bilateral treaties validly concluded by the United Kingdom on behalf of the territory of Tanganyika, or validly applied or extended by the former to the territory latter, the Government of Tanganyika is willing to continue to apply within the territory, on a basis of reciprocity, the terms of all such treaties for a period of 2 years from the date of independence [i.e. until 8 December 1963] unless abrogated or modified by mutual consent. At the expiry of that period, the government of Tanganyika will regard such of these treaties, which could not by the application of the customary international law be regarded as otherwise surviving, as having terminated."
As a result, http://edocs.nps.edu/npspubs/scholarly/theses/2011/June/11Jun_Msafiri.pdf Tanzania refused to recognize the treaties that naturally gave the lake to Malawi on independence on 6 July 1964 since its allegiance to such expires on December 8, 1963.
And this was the major recipe for this dispute because, it meant that in practice; Malawi and Tanzania now had different points of reference, which explains the continued stand-off.
Parties that have different points of reference in any argument are as good as parallel lines. They can never meet. In the least, it explains where Malawi and Tanzania are at, with respect to Lake Malawi a.k.a Lake Nyasa.
In all likelihood, Dr. Banda would have viewed such a policy, which was supposed to be outward looking but designed in a way that only serves internal interests, with utter contempt.
Any merit in Tanzania's claim to half the lake?
Having said all this one then wonders if Tanzanians are mad to be claiming half the lake and on what basis some map makers show the median line as the boundary. There are several International Conventions that deal with rights associated with water.
Rights associated with water that is not flowing are called littoral. Generally land beneath non-sovereign lakes are owned by the surrounding upland owners. When all the deeds call to the lake, each owner has title to a centre point. This principle is referred to riparian rights and is the basis for Tanzania's claim.
Should Malawi buy this?
From the statement of Patrick Kabambe, Malawi's Principal Secretary in the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation, this seems like a far-fetched idea and one is tempted to subscribe to this thought.
"Indeed, we went for discussion on the border issue and we categorically put it to them that as far we are concerned, the entire lake belongs to Malawi."
The point is: if one person unilaterally decides to annul existing international treaties (like the Anglo-Germany Treaty &#8211; which by the way is all there is on this &#8211; and both Tanzanians and Malawians were not represented which makes them both victims); why should another person suffer from subscribing to the treaty?
Advice to Malawi: Let's by all means meet, eat, drink together, and talk with Tanzania. But the talking will not undo the Anglo-Germany Treaty.
As Dr. H. Kamuzu Banda used to say, we are all brothers and sisters &#8211; the maps and divisions were imposed on us by the colonialists; therefore, let us all (Malawians and Tanzanians) fish and swim in the beautiful Lake Malawi.
But please, our brothers and sisters from across the border shouldn't stop us from exploring ventures that can lift our livelihood and economy.
Just as the learned Tanzanian scholar,http://edocs.nps.edu/npspubs/scholarly/theses/2011/June/11Jun_Msafiri.pdf, quoted William Shakespeare &#8211; Merchant of Venice, we will go a step further and paraphrase the same: Tanzania will be taking our lives, if Tanzania takes away the means by which we want to prosper and live!.

http://www.nyasatimes.com/malawi/2012/08/01/cold-war-over-lake-malawi-continues-ghost-of-kamuzu-nyerere-revisit-malawi/?#comment-288256



 
Back
Top Bottom