Samwel Sitta, chui ktk kundi la kondoo.

KAUMZA

JF-Expert Member
Aug 31, 2010
699
237
JK alidhani kumuingiza Samwel Sitta katika serikali yake labda itakuwa ni njia mojawapo ya kuponya majeraha na mpasuko ndani ya chama chake. Lakini mambo yameenda tofauti. Samwel Sitta amekuwa akiikosoa serikali na maamuzi ya serikali hivyo kwenda kinyume na dhana nzima ya Uwajibikaji wa pamoja(Collective Responsibility). Majuzi na hata leo amepingana na uamuzi wa serikali wa kuilipa DOWANS. Ikumbukwe kuwa ni yeye aliyeifikisha CCM hapa ilipo.

Rais JK, mfukuze Sitta. Atakudhuru na ataiangusha serikali. Mbona wenzake akina Mwakyembe wametulia na wanachapa kazi? Sitta hakufai. Wanasema waswahili. ukimchekea nyani, utavuna mabua. Ana chuki baada ya kuukosa uspika.
 
Kupigania haki hakujarishi madaraka uliyonayo, KAUMZA wewe mvivu wa kufikiri, na mtu hatari ktk harakat za kuikomboa Tanzania toka kwa mkolooni SISIEMU.
 
Wewe humjui sitta ila unaijua ccm tu! mbona kumbe unajua kuna wengine wametulia baada ya kupewa vyeo,je huoni kwamba sitta ndo hayupo kwa vyeo maaana hata kama ni waziri lakini anakosoa serikali,au un ataka awe kama makamba?
 
Acha unafiki wa kipumbavu ndugu yangu. Sitta amekuwa mzalendo na Kiongozi wa kuigwa. Nategemea ungemshauri Kikwete ajiuzuru uongozi kuliko kumshauri amtoe Sitta Serikalini!! Serikali imekosea na itaendelea kukosea kuwalipa Dowans....

Unaofikiria kuwa wametulia wanachapa kazi ndio makondoo tusiowataka na wana miaka mitano tu ya kuwa mawaziri. Walipiga kelele si kwa manufaa ya taifa ila matumbo yao. Ilipaswa waendelee kutetea maslahi ya taifa kwa nguvu ileile waliyokuwa nayo wakiwa Wabunge.

Naomba uwe unatoa ushauri wenye maslahi kwa taifa na siyo kuficha maovu na ufisadi.
 
POLE kwa mtazamo wako wa kichama zaidi kuliko taifa, watu kama Sitta wachache sana nchi hii, wengi wapo kundi lako.
 
JK alidhani kumuingiza Samwel Sitta katika serikali yake labda itakuwa ni njia mojawapo ya kuponya majeraha na mpasuko ndani ya chama chake. Lakini mambo yameenda tofauti. Samwel Sitta amekuwa akiikosoa serikali na maamuzi ya serikali hivyo kwenda kinyume na dhana nzima ya Uwajibikaji wa pamoja(Collective Responsibility). Majuzi na hata leo amepingana na uamuzi wa serikali wa kuilipa DOWANS. Ikumbukwe kuwa ni yeye aliyeifikisha CCM hapa ilipo.

Rais JK, mfukuze Sitta. Atakudhuru na ataiangusha serikali. Mbona wenzake akina Mwakyembe wametulia na wanachapa kazi? Sitta hakufai. Wanasema waswahili. ukimchekea nyani, utavuna mabua. Ana chuki baada ya kuukosa uspika.

mawazo ya kijua hayo!!!

yaani chama kwanza utaifa baadaye?

huo ujinga ndo unanifanya nikifananishe CCM na wafuasi wake kuwa ni sawa na jeneza
 
Sasa bwana mkubwa anachelewa nini kufanya maamuzi hayo? Hapa tulipo ameshachelewa, maji yamezidi unga. Dawa sio kumfukuza Sitta. Ndio atajikoroga zaidi. Dawa ni kutolipa Dowans
 
Hii ni strategy ya chama cha mapinduzi kuhakikisha hawapotezi kabisa imani ya wananchi juu yako.

Sitta yuko kikazi zaidi.
 
Nail them Six...nail them hard and more harder!! Ila usisahau ukajipiga kidole na hiyo nyundo yako....
 
Nionavyo mimi anachofanya Sitta ni siasa za unafiki. Ukikaa ktk takataka nawe unakuwa takataka. Utajisafisha vipi wakati nawe na sehemu ya takataka! Dr SLAA wakati anafungua kampeni zake jangwani Dar, alisema CCM hakuna msafi. Vipi mnamtetea Sitta. Ni mnafiki na mzandiki. Vipi unaweza kula chakula na muda huo huo unakitemea mate. Kama anaona Serikali anayoitumikia haifai, vipi asikae pembeni? Kama hana chuki binafsi na kama hana lengo la kumharibia JK, vipi kila siku anainyong'onyeza serikali yake?
 
JK alidhani kumuingiza Samwel Sitta katika serikali yake labda itakuwa ni njia mojawapo ya kuponya majeraha na mpasuko ndani ya chama chake. Lakini mambo yameenda tofauti. Samwel Sitta amekuwa akiikosoa serikali na maamuzi ya serikali hivyo kwenda kinyume na dhana nzima ya Uwajibikaji wa pamoja(Collective Responsibility). Majuzi na hata leo amepingana na uamuzi wa serikali wa kuilipa DOWANS. Ikumbukwe kuwa ni yeye aliyeifikisha CCM hapa ilipo.

Rais JK, mfukuze Sitta. Atakudhuru na ataiangusha serikali. Mbona wenzake akina Mwakyembe wametulia na wanachapa kazi? Sitta hakufai. Wanasema waswahili. ukimchekea nyani, utavuna mabua. Ana chuki baada ya kuukosa uspika.

Si jambo la kushangaa!1 Kwani si alikuwa kiongozi wa kukatisha mkataba uliopelekea malipo haya?
 
''You are always clear'' with the lack of clarity! Acha kuwa mvivu wa kufikiri , na usipende kuwa hodari wa umbea! Sitta anajaribu kuwa na mawazo huru yasiyo fungwa na uwaziri! Si lazima ukiwa waziri ushabikie usiri haramu! Je unamkumbuka bi clare short wa uingereza wakati wa sakata la radar ya tz?
 
JK alidhani kumuingiza Samwel Sitta katika serikali yake labda itakuwa ni njia mojawapo ya kuponya majeraha na mpasuko ndani ya chama chake. Lakini mambo yameenda tofauti. Samwel Sitta amekuwa akiikosoa serikali na maamuzi ya serikali hivyo kwenda kinyume na dhana nzima ya Uwajibikaji wa pamoja(Collective Responsibility). Majuzi na hata leo amepingana na uamuzi wa serikali wa kuilipa DOWANS. Ikumbukwe kuwa ni yeye aliyeifikisha CCM hapa ilipo.

Rais JK, mfukuze Sitta. Atakudhuru na ataiangusha serikali. Mbona wenzake akina Mwakyembe wametulia na wanachapa kazi? Sitta hakufai. Wanasema waswahili. ukimchekea nyani, utavuna mabua. Ana chuki baada ya kuukosa uspika.

Fitna hizo, hamna hata kimoja kibaya kwa CCM alichosema au kufanya Sitta.
 
JK alidhani kumuingiza Samwel Sitta katika serikali yake labda itakuwa ni njia mojawapo ya kuponya majeraha na mpasuko ndani ya chama chake. Lakini mambo yameenda tofauti. Samwel Sitta amekuwa akiikosoa serikali na maamuzi ya serikali hivyo kwenda kinyume na dhana nzima ya Uwajibikaji wa pamoja(Collective Responsibility). Majuzi na hata leo amepingana na uamuzi wa serikali wa kuilipa DOWANS. Ikumbukwe kuwa ni yeye aliyeifikisha CCM hapa ilipo.

Rais JK, mfukuze Sitta. Atakudhuru na ataiangusha serikali. Mbona wenzake akina Mwakyembe wametulia na wanachapa kazi? Sitta hakufai. Wanasema waswahili. ukimchekea nyani, utavuna mabua. Ana chuki baada ya kuukosa uspika.

wewe ni moja ya wezi wa mali za umma kwa hiyo wewe na kikwete mnafurahia malipo ya Dowans kwa kuwa
zinawarudia kwa mgongo wa nyuma, yawezekana 6 anajua kuwa kikwete anataka ku re place zile Dollar 2M
za 2005
 
''You are always clear'' with the lack of clarity! Acha kuwa mvivu wa kufikiri , na usipende kuwa hodari wa umbea! Sitta anajaribu kuwa na mawazo huru yasiyo fungwa na uwaziri! Si lazima ukiwa waziri ushabikie usiri haramu! Je unamkumbuka bi clare short wa uingereza wakati wa sakata la radar ya tz?

Ni sawa Bwana GAD ,Lakini inapokuja suala kaama hili kuongea pekeehaitoshi ,mbona Richmond ilikuwa hivi2 /huyu mzee haaminiki kwa nini yupo pamoja nao au anatafuta maisha !basi ni heri akae kimya tujue moja
 
JK alidhani kumuingiza Samwel Sitta katika serikali yake labda itakuwa ni njia mojawapo ya kuponya majeraha na mpasuko ndani ya chama chake. Lakini mambo yameenda tofauti. Samwel Sitta amekuwa akiikosoa serikali na maamuzi ya serikali hivyo kwenda kinyume na dhana nzima ya Uwajibikaji wa pamoja(Collective Responsibility). Majuzi na hata leo amepingana na uamuzi wa serikali wa kuilipa DOWANS. Ikumbukwe kuwa ni yeye aliyeifikisha CCM hapa ilipo.

Rais JK, mfukuze Sitta. Atakudhuru na ataiangusha serikali. Mbona wenzake akina Mwakyembe wametulia na wanachapa kazi? Sitta hakufai. Wanasema waswahili. ukimchekea nyani, utavuna mabua. Ana chuki baada ya kuukosa uspika.

Unamaanisha hayo aliyoyasema hayana mantiki yoyote kwani hata angebaki kua mbunge si angeendelea kuyazungumza hayo. Acha Up..zi.
 
Nionavyo mimi anachofanya Sitta ni siasa za unafiki. Ukikaa ktk takataka nawe unakuwa takataka. Utajisafisha vipi wakati nawe na sehemu ya takataka! Dr SLAA wakati anafungua kampeni zake jangwani Dar, alisema CCM hakuna msafi. Vipi mnamtetea Sitta. Ni mnafiki na mzandiki. Vipi unaweza kula chakula na muda huo huo unakitemea mate. Kama anaona Serikali anayoitumikia haifai, vipi asikae pembeni? Kama hana chuki binafsi na kama hana lengo la kumharibia JK, vipi kila siku anainyong'onyeza serikali yake?

tatizo halitatuliwi kwa kukimbiwa.
Na nafikiri sisiem inahitaji wakosoaji wengi kama kina sitta ili atleast mambo yaende sawa.
Habari za uwajibikaji wa pamoja hata kama unaona mambo hayapo sawa hakuna hiyo.
Wapeni moyo hao wachache wanaoweza kuchallenge utaratibu mbovu wa mkwere.
 
Kwa taarifa za ki intelijensia! mkwere hawezi kumfukuza sitta, mwakyembe, magufuli na design hizo! Maana intelijensia wanasema tusipokuwa nao hao 2015 hatufiki, intelijensia inasema wacha tuwe na pinda tuonekane si si mafisadi I mean c mafisadi. Intelijensia my foot! ..lol, kesho watu kibao hapo nmc vipi intelijensia? Au unasubiri mida mibovu ndo utoe intelijensia?
 
Back
Top Bottom