Samwel Sitta ampiga bao Lowassa urais 2015

Humjui Wasira wewe! Kwa taarifa yako huyo ndiye anayewanyima cdm usingizi, mtamponda sana kwa kuwa ni threat kwenu.
kaa chini kijana, tafuta data za Wasira uje nazo, nahisi bado unawaza kishule-shule.
kama humjui Wasira nashauri uwe kimya usikurupuke.
Wassira yupi unayemzungumzia hasa, siyo yule mbunge wa Bunda ambaye ukoma umeathiri sana nerves zake kiasi kwamba anasinzia hata akiwa anatembea? Kama ni huyo si lolote wala si chochote
 
Kweli katika maisha kuna kitu kinaitwa Proffessional and Amateur, Au Kuna Kitu Kinaitwa legelege au Ukomavu...!
Kamanda Samwel Sitta Ameonyesha Ukomavu wa kiasa pamoja na uwezo mkubwa sana baada ya kuweza kuwaweka chini mahasimu wawili GODBLESS LEMA na GAUDENCE LYIMO (meya wa jiji la Arusha) Kitu ambacho hakuna kiongozi mwingine aliyedhubutu kufanya hivyo!

Na kweli kama amani itatokea tena Arusha basi SITTA ndio atakuwa amefanikisha kwa asilimia mia moja!

Napenda niseme Samwel Sitta Ndio Kiongozi kwa mambo yafuatao

+Ana Msimamo usiopindishwa,Kama ishu ya dowans Amekuwa na Msimamo thabiti
+Ni kiongozi jasiri,shupavu, kama kwenye uchaguzi 2010 alijitoa mhanga kwa CCM Ajitose kwenye mdahalo na Dk.Slaa
+Ni Kiongozi aliyewashughulikia mafisadi ipasavyo kwa kuruhusu mijadala ya bungeni ambayo iliwaaumbua mafisadi

Huyu ndio Samwel Sitta Kiongozi Jasiri Anayemnyima usingizi Ngoyai...,Sitta Anatumia Akili Wakati Ngoyai Anatumia Pesa Tutaona NANI ATAKUWA MSHINDI...

Jaribu tena!
 
upatanishi wa meya na mbunge unapatikana kanisani hii kali!au walimuogopa askofu? FF,MS mkiambiwa nchi inaendeshwa na kanisa mnabisha?
 
Afadhali sasa hivi kila thread inaihusu CCM..CDM imeanza kupotea kwenye jukwaa letu la siasa.
.
Mizingo ya JF!sioni hoja ya msingi hapa,inasikitisha sana huyu jamaa ni mbambaishaji sana na ni mzigo namba moja wa JF!
 
Tusiwagombanishe jamani hawa ni marafiki sana

seif.jpg
 
Tusiwagombanishe jamani hawa ni marafiki sana

seif.jpg


Hivi hapo ni kitu gani kinaonyesha kuwa hawa ni marafiki? Picha hii ilipigwa wakati Mr Six ni Spika na Mrs Six ni waziri wa elimu na EL akiwa PM. Huyo binti ni wale waliofaulu vizuri. Sasa hapo urafiki uko wapi? Mbona unapotosha?
 
ni kweli Lowassa kapigwa la kisigino, lijamaa linasema mie natoa mchango sijipitishi pitishi kwenye altare za watu kujisafisha kama usafi ninao tayari
 
Kweli katika maisha kuna kitu kinaitwa Proffessional and Amateur, Au Kuna Kitu Kinaitwa legelege au Ukomavu...!
Kamanda Samwel Sitta Ameonyesha Ukomavu wa kiasa pamoja na uwezo mkubwa sana baada ya kuweza kuwaweka chini mahasimu wawili GODBLESS LEMA na GAUDENCE LYIMO (meya wa jiji la Arusha) Kitu ambacho hakuna kiongozi mwingine aliyedhubutu kufanya hivyo!

Na kweli kama amani itatokea tena Arusha basi SITTA ndio atakuwa amefanikisha kwa asilimia mia moja!

Napenda niseme Samwel Sitta Ndio Kiongozi kwa mambo yafuatao

+Ana Msimamo usiopindishwa,Kama ishu ya dowans Amekuwa na Msimamo thabiti
+Ni kiongozi jasiri,shupavu, kama kwenye uchaguzi 2010 alijitoa mhanga kwa CCM Ajitose kwenye mdahalo na Dk.Slaa
+Ni Kiongozi aliyewashughulikia mafisadi ipasavyo kwa kuruhusu mijadala ya bungeni ambayo iliwaaumbua mafisadi

Huyu ndio Samwel Sitta Kiongozi Jasiri Anayemnyima usingizi Ngoyai...,Sitta Anatumia Akili Wakati Ngoyai Anatumia Pesa Tutaona NANI ATAKUWA MSHINDI...
Umeshau kuongezea swala la ujenzi wa ofisi ya gharama kubwa kupita kiasi.
 
Nyie mwaanza ktafuta rais leo? du hii inaonyesha kazi ya kuwatumikia wananchi imewashinda kabisaa
 
hakuna jema kutoka magamba hata yeye alikiri jana kuwa vijana ndio watakaobadilisha nchi sio wazee tena
 
Sita ni Janga la Taifa!
YeYe ndio Chachu ya Kustawisha Malumbano CCM!Hasira za kuenguliwa Uspika
Kwani kule Arusha si alijichomeka kuwaita Lema na Limo mbele najidai kuwapambanisha!pale kila mtu alienda kwa ajili ya kuchangia Kanisa!
Tatizo mh 6 anaonekano mtu wa Vineno kama wale wanaousuka nywele wenzao!
Hakitakii mema chama cha wenzake CCM!Anataka Kisambaratike kama CCJ yake ambayo Aliitumia Kumliza kisiasa Mpendazoe wa Watu!
Mbona 6 anakimbilia kujiita msafi!Si angoje apimwe kweny kipima joto
 
Sita ni Janga la Taifa!
YeYe ndio Chachu ya Kustawisha Malumbano CCM!Hasira za kuenguliwa Uspika
Kwani kule Arusha si alijichomeka kuwaita Lema na Limo mbele najidai kuwapambanisha!pale kila mtu alienda kwa ajili ya kuchangia Kanisa!
Tatizo mh 6 anaonekano mtu wa Vineno kama wale wanaousuka nywele wenzao!
Hakitakii mema chama cha wenzake CCM!Anataka Kisambaratike kama CCJ yake ambayo Aliitumia Kumliza kisiasa Mpendazoe wa Watu!
Mbona 6 anakimbilia kujiita msafi!Si angoje apimwe kweny kipima joto

Hebu eleza mema ya EL ili mjadara uwe mzuri, hebu tushushie hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom