BBJ
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 1,181
- 160
Kwahiyo watu wale elimu?kauli mbiu ya Lowasa, Elimu kwanza, Kilimo baadaye!!
Kwahiyo watu wale elimu?kauli mbiu ya Lowasa, Elimu kwanza, Kilimo baadaye!!
Wassira yupi unayemzungumzia hasa, siyo yule mbunge wa Bunda ambaye ukoma umeathiri sana nerves zake kiasi kwamba anasinzia hata akiwa anatembea? Kama ni huyo si lolote wala si chochoteHumjui Wasira wewe! Kwa taarifa yako huyo ndiye anayewanyima cdm usingizi, mtamponda sana kwa kuwa ni threat kwenu.
kaa chini kijana, tafuta data za Wasira uje nazo, nahisi bado unawaza kishule-shule.
kama humjui Wasira nashauri uwe kimya usikurupuke.
Kweli katika maisha kuna kitu kinaitwa Proffessional and Amateur, Au Kuna Kitu Kinaitwa legelege au Ukomavu...!
Kamanda Samwel Sitta Ameonyesha Ukomavu wa kiasa pamoja na uwezo mkubwa sana baada ya kuweza kuwaweka chini mahasimu wawili GODBLESS LEMA na GAUDENCE LYIMO (meya wa jiji la Arusha) Kitu ambacho hakuna kiongozi mwingine aliyedhubutu kufanya hivyo!
Na kweli kama amani itatokea tena Arusha basi SITTA ndio atakuwa amefanikisha kwa asilimia mia moja!
Napenda niseme Samwel Sitta Ndio Kiongozi kwa mambo yafuatao
+Ana Msimamo usiopindishwa,Kama ishu ya dowans Amekuwa na Msimamo thabiti
+Ni kiongozi jasiri,shupavu, kama kwenye uchaguzi 2010 alijitoa mhanga kwa CCM Ajitose kwenye mdahalo na Dk.Slaa
+Ni Kiongozi aliyewashughulikia mafisadi ipasavyo kwa kuruhusu mijadala ya bungeni ambayo iliwaaumbua mafisadi
Huyu ndio Samwel Sitta Kiongozi Jasiri Anayemnyima usingizi Ngoyai...,Sitta Anatumia Akili Wakati Ngoyai Anatumia Pesa Tutaona NANI ATAKUWA MSHINDI...
Afadhali sasa hivi kila thread inaihusu CCM..CDM imeanza kupotea kwenye jukwaa letu la siasa.
Kwahiyo watu wale elimu?
wote hawafai kwa urais ila nafuu Lowassa kuliko SITTAkwahiyo hapa unatushauri Lowasa ndiye anafaa zaidi kwa uraisi 2015?
.Afadhali sasa hivi kila thread inaihusu CCM..CDM imeanza kupotea kwenye jukwaa letu la siasa.
Tusiwagombanishe jamani hawa ni marafiki sana
Umeshau kuongezea swala la ujenzi wa ofisi ya gharama kubwa kupita kiasi.Kweli katika maisha kuna kitu kinaitwa Proffessional and Amateur, Au Kuna Kitu Kinaitwa legelege au Ukomavu...!
Kamanda Samwel Sitta Ameonyesha Ukomavu wa kiasa pamoja na uwezo mkubwa sana baada ya kuweza kuwaweka chini mahasimu wawili GODBLESS LEMA na GAUDENCE LYIMO (meya wa jiji la Arusha) Kitu ambacho hakuna kiongozi mwingine aliyedhubutu kufanya hivyo!
Na kweli kama amani itatokea tena Arusha basi SITTA ndio atakuwa amefanikisha kwa asilimia mia moja!
Napenda niseme Samwel Sitta Ndio Kiongozi kwa mambo yafuatao
+Ana Msimamo usiopindishwa,Kama ishu ya dowans Amekuwa na Msimamo thabiti
+Ni kiongozi jasiri,shupavu, kama kwenye uchaguzi 2010 alijitoa mhanga kwa CCM Ajitose kwenye mdahalo na Dk.Slaa
+Ni Kiongozi aliyewashughulikia mafisadi ipasavyo kwa kuruhusu mijadala ya bungeni ambayo iliwaaumbua mafisadi
Huyu ndio Samwel Sitta Kiongozi Jasiri Anayemnyima usingizi Ngoyai...,Sitta Anatumia Akili Wakati Ngoyai Anatumia Pesa Tutaona NANI ATAKUWA MSHINDI...
Umeshau kuongezea swala la ujenzi wa ofisi ya gharama kubwa kupita kiasi.
"Najua unajua kwamba Richmond ilikuwa ya JK..."
View attachment 42733
Sita ni Janga la Taifa!
YeYe ndio Chachu ya Kustawisha Malumbano CCM!Hasira za kuenguliwa Uspika
Kwani kule Arusha si alijichomeka kuwaita Lema na Limo mbele najidai kuwapambanisha!pale kila mtu alienda kwa ajili ya kuchangia Kanisa!
Tatizo mh 6 anaonekano mtu wa Vineno kama wale wanaousuka nywele wenzao!
Hakitakii mema chama cha wenzake CCM!Anataka Kisambaratike kama CCJ yake ambayo Aliitumia Kumliza kisiasa Mpendazoe wa Watu!
Mbona 6 anakimbilia kujiita msafi!Si angoje apimwe kweny kipima joto