RockSpider
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 6,859
- 2,762
Nimelazimika kuandika kuweka takwimu sahihi kwa vizazi hivi na vizazi vijavyo; kuanzia sasa nitakuwa nawachambua watia nia wote wa Urais wanaojinasibu kuwa ni WAZALENDO ingali wao ndo Mafisadi Papa katika nchi hii. Lengo ni kuweka mambo hadharani ili hatimae Umma ufanye maamuzi sahihi hapo October.
SEHEMU YA KWANZA nitaanza kumchambua Samwel Sitta:
1. akiwa Mkurugenzi wa TIC aliridhia sera mbovu ya uwekezaji (Investment Policy 1996) iliyoandaliwa vilivyo kwa maslahi ya USA et al... To date sera ya uwekezaji inayojali zaidi Wawekezaji kuliko wazawa haijawahi kuwa reviewed ...
2. Akiwa Mkurugenzi wa TIC alikwenda USA kuonana na Wamiliki wa Richmond kwaajili ya kujenga bomba la mafuta kutoka Dar hadi Mwanza!! upembuzi yakinifu juu ya mradi huo ulifanywa na Kampuni ya kizalendo ya akina Muro wa mbezi tiles!!! Sitta aliiba nyaraka husika na kasha kuzikabidhi kwa Richmond! Deal lilivunjika baada ya akina Muro kutishia kwenda Mahakamani ... kwa ufupi Richmond ililetwa na Samwel Sitta ... Uchunguzi wa kina uliofanyika inaonyesha kuwa Zengwe la kumharibia lowassa lilipikwa na kutengenezwa in collaboration with Richmond, Membe na Sitta...
3. Wakati wa Ujenzi wa Barabara ya Musoma - Nyanguge: Sitta alikula rushwa ya kuletewa vifaa vya ujenzi kwenye Makontena! TISS walitoa taarifa kuhusiana na nyumba ya Sitta iliyoko Urambo... Sitta ni Mchafu Mla Rushwa Mkubwa kuliko wote Tanzania ... wadau mbali mbali wanalijua hili ...
4. Sitta aliwahi kuipeleka Simba Brazil kwa fedha za walipa kodi wa Tanzania.. Mameneja wa Simba akina Slvio walikuwa wanakula na kulala bure Kilimanjaro Hotel miaka nenda miaka rudi Jambo lililopelekea kuzorotesha huduma za hotel ..
5. Sitta alikamatwa akimla mke wa Mwanausalama Iringa na Rais Mwinyi alionyeshwa picha zake za Utupu jambo lililopelekea Alhaji Mwinyi kupiga Astakafirulllah mara 20! Baada ya hapo aliondolewa kuwa Mkuu wa Mkoa... Sitta anajulikana kuwa alikuwa anatumia madaraka yake kujilimbikizia wanawake wa kila aina! Wengi wanamjua kwa uzinzi wake uliopitiliza na ambao kwa kiasi kikubwa kilimfanya ashindwe kuwekeza hivyo kuwaonea wivu viongozi wenzake waliofanikiwa kimaisha...
6. Madudu ya BMK hope wote mnayafahamu ... Alisababisha Serikali kuingia kwenye Gharama kubwa wakati ilikuwa inajulikana wazi kuwa bila Maridhiano Bunge hilo lisingekuwa na tija, alipigisha kura hadi makaburu na mahujaji! Afisa Ubalozi wa Tanzania nchi Saudia alirejeshwa nyumbani kwa kueleza ukweli kuwa Mahujaji hawakuweza kupiga kura! Sitta ni muumini mzuri wa uchakachuaji wa matokeo... UFISADI WAKE CDA na DIA nitawaletea Baadae...
....FACTS ZITANDELEA ...
SEHEMU YA KWANZA nitaanza kumchambua Samwel Sitta:
1. akiwa Mkurugenzi wa TIC aliridhia sera mbovu ya uwekezaji (Investment Policy 1996) iliyoandaliwa vilivyo kwa maslahi ya USA et al... To date sera ya uwekezaji inayojali zaidi Wawekezaji kuliko wazawa haijawahi kuwa reviewed ...
2. Akiwa Mkurugenzi wa TIC alikwenda USA kuonana na Wamiliki wa Richmond kwaajili ya kujenga bomba la mafuta kutoka Dar hadi Mwanza!! upembuzi yakinifu juu ya mradi huo ulifanywa na Kampuni ya kizalendo ya akina Muro wa mbezi tiles!!! Sitta aliiba nyaraka husika na kasha kuzikabidhi kwa Richmond! Deal lilivunjika baada ya akina Muro kutishia kwenda Mahakamani ... kwa ufupi Richmond ililetwa na Samwel Sitta ... Uchunguzi wa kina uliofanyika inaonyesha kuwa Zengwe la kumharibia lowassa lilipikwa na kutengenezwa in collaboration with Richmond, Membe na Sitta...
3. Wakati wa Ujenzi wa Barabara ya Musoma - Nyanguge: Sitta alikula rushwa ya kuletewa vifaa vya ujenzi kwenye Makontena! TISS walitoa taarifa kuhusiana na nyumba ya Sitta iliyoko Urambo... Sitta ni Mchafu Mla Rushwa Mkubwa kuliko wote Tanzania ... wadau mbali mbali wanalijua hili ...
4. Sitta aliwahi kuipeleka Simba Brazil kwa fedha za walipa kodi wa Tanzania.. Mameneja wa Simba akina Slvio walikuwa wanakula na kulala bure Kilimanjaro Hotel miaka nenda miaka rudi Jambo lililopelekea kuzorotesha huduma za hotel ..
5. Sitta alikamatwa akimla mke wa Mwanausalama Iringa na Rais Mwinyi alionyeshwa picha zake za Utupu jambo lililopelekea Alhaji Mwinyi kupiga Astakafirulllah mara 20! Baada ya hapo aliondolewa kuwa Mkuu wa Mkoa... Sitta anajulikana kuwa alikuwa anatumia madaraka yake kujilimbikizia wanawake wa kila aina! Wengi wanamjua kwa uzinzi wake uliopitiliza na ambao kwa kiasi kikubwa kilimfanya ashindwe kuwekeza hivyo kuwaonea wivu viongozi wenzake waliofanikiwa kimaisha...
6. Madudu ya BMK hope wote mnayafahamu ... Alisababisha Serikali kuingia kwenye Gharama kubwa wakati ilikuwa inajulikana wazi kuwa bila Maridhiano Bunge hilo lisingekuwa na tija, alipigisha kura hadi makaburu na mahujaji! Afisa Ubalozi wa Tanzania nchi Saudia alirejeshwa nyumbani kwa kueleza ukweli kuwa Mahujaji hawakuweza kupiga kura! Sitta ni muumini mzuri wa uchakachuaji wa matokeo... UFISADI WAKE CDA na DIA nitawaletea Baadae...
....FACTS ZITANDELEA ...