Samsungs wanashida gani?

Kwa technologia ya sasa simu ikiwa na battery capacity chin ya 5000 Amh ni matatizo
Chai nyingine hii,
Naomba kufahamu matatizo ya;
Vivo V23
Samsung galaxy S20+
Huawei P30
Apple iPhone 13 pro max
Hizo zote zina battery capacity chini ya 5000mAh
 
Chai nyingine hii,
Naomba kufahamu matatizo ya;
Vivo V23
Samsung galaxy S20+
Huawei P30
Apple iPhone 13 pro max
Hizo zote zina battery capacity chini ya 5000mAh
Tumia common sense. Ixo simu ulizo zitaja hapo ni simi ghali yan high ends. Kampuni zingine zinatoa simu ya kawaida kama oppos na infinix lakin battery zao zina uwezo mkubwa kuliko samsungs kwa RANGE HIYO. Sasa basi chukua iyo samsung s20 plus na huawei p30 from mornee washa data uone na samsung yako utafika nayo wapi ?
 
Nimechukua S20 na P30 nimewasha data na nimefika nayo Kigoma
 
Kawaida masaa mangapi kwa matumizi ya kawaida ?

Mfano mimi natumia Oppo , bat ni 4230mah, full time data matumizi ya kawaida nafikisha masaa 36 na ushee
Hiyo chai simu utumie internet lazima ichemke Tena ukiongeza na joto la nje kama upo Dar au ukanda wa Pwani betri inaisha haraka haiwezi kukaa masaa 24 labda kama unaiwasha na kuizima na kuiwasha baada ya masaa kadhaa
 
Hivi kati ya samsung note 10+ , s 10+ na one plus ipi bora nataka nifanye maamuzi ya kununua simu kati ya hizo now natumia s 9+
 
Hivi kati ya samsung note 10+ , s 10+ na one plus ipi bora nataka nifanye maamuzi ya kununua simu kati ya hizo now natumia s 9+
Inategemea na preferences zako...kama unapenda S pen go for note 10, note 10 ina battery kubwa kuliko s10 ingawa baadhi ya review ilikua nyuma kwa s10 kwenye battery endurance, pia note 10 plus haina earphone jack,mm napenda S series ningechukua S10 plus.
 

Technology ya battery ni zaidi ya hizo mah, pia maisha ya battery inategemea sana aina ya SoC ya simu
 
Hiyo iphone ni kopo sio simu. Mimi natumia samsung na hua nacharge mara 1 kwa siku na naitumia ipasavyo. Sijawah miliki power bank naonaga watumiaji wa iphone wengi wana power bank. Poleni5
Tatizo wengi humu wanatumia vitu used or refurbished

has asilimia kubwa ya iPhone users hawapati iphone kutoka Apple direct sana sana ni kwa ma dealers ambao hubadilisha vitu kama batteries, Display ambazo ni kutoka third parties
 
Hizo chai wazee mtaacha Lin lakin...
Wewe bakia ukisema ni chai za mdalasini+ shubiri ila ni kweli .Galaxy M11 nimeitoa kwenye charger jana saa 1.30 asbh ikiwa Fully Charged sasa hivi ni saa 10 jioni next day ipo 50% charge.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…