Sikuhizi makampuni pekee yanayoleta design mpya ni makampuni ya Kichina. Wachina hata kwenye kuongeza vitu vipya wapo vizuri sana, ni vile tu flagship zao sio popular sana nje ya ChinaNi February nyingine, Samsung wanatuletea S Series. Wamekuja na S26, S26+ na S26 Ultra.
View attachment 3548781
Kusema kweli mabadiriko ya kimuonekano ni madogo sana ukifananisha na S25 kwahiyo vichache vya kuandika.
Kampuni gani kwa mfanoSikuhizi makampuni pekee yanayoleta design mpya ni makampuni ya Kichina. Wachina hata kwenye kuongeza vitu vipya wapo vizuri sana, ni vile tu flagship zao sio popular sana nje ya China
Samsung, Apple na Google wametafuta recognition na wameamua kubaki nayo. Sio kitu kibaya, ni uamuzi wa kampuni ila binafsi nimefurahi design ya iPhone 17 Pro Max ilivyobadilika kidogo, naona imekuwa nzuri zaidi
Kwa Samsung kuanzia S22 Ultra design ilikuwa perfect tayari. Inafaa kutumika hata 2026, at least according to me
Mfano Xiaomi 17 Pro na Pro Max zilivyokuja na big rear display ili uweze kurekodi selfie videos at 8K resolution kwa kutumia main cameraKampuni gani kwa mfano
Hata hivyo rear screen siyo feature mpyaMfano Xiaomi 17 Pro na Pro Max zilivyokuja na big rear display ili uweze kurekodi selfie videos at 8K resolution kwa kutumia main camera
View attachment 3549193
Au Xiaomi 17 Ultra ilivyokuja na ring kwa nyuma around the camera ambayo ukiizingusha unaweza kuitumia ku zoom, ku adjust exposure (EV), manual focus, white balance (Kelvin) au quick shortcut to launch the camera app
View attachment 3549194
Au feature ya wave and share ya Huawei inayorahisisha ku share vitu kutoka simu moja ya Huawei kwenda simu nyingine ya Huawei
View attachment 3549195
Na wengi wao viumiavyo ni viungo vyao ngono katika process ya kutafuta toleo jipya.😂😂Watu wa kukimbizana na matoleo, roho juu hapoo.
Lol 😂😂😂😂😂😂
Ilikuwepo kwenye Xiaomi 11 Ultra lakini ilikuwa limited sana, hii sasahivi wameiongezea functionality nyingi zaidi.Hata hivyo rear screen siyo feature mpya
Na wengi wao viumiavyo ni viungo vyao ngono katika process ya kutafuta toleo jipya.![]()
Wengi ya waliokuwa na uwezo wa kuzinunua hawana shobo nazo na wale makapuku wasiozimudu ndio hasa wenye muhemko kupelekea kuweka rehani utu wao.Kwamba watu hawawezi kujinunulia simu? Simu hizi hizi, sasa kwenye magari itakuwaje?
Mbaya zaidi wachina nao wameanza kuwakopi Apple na Google,xiaomi anataoa simu unaweza jua ni iPhone 16,Wakina vivo nao wanafyatua simu design kama google tu,yani juzi napitia pitia masoko ya China nakutana na simu unaweza jua iPhone au google .Sikuhizi makampuni pekee yanayoleta design mpya ni makampuni ya Kichina. Wachina hata kwenye kuongeza vitu vipya wapo vizuri sana, ni vile tu flagship zao sio popular sana nje ya China
Samsung, Apple na Google wametafuta recognition na wameamua kubaki nayo. Sio kitu kibaya, ni uamuzi wa kampuni ila binafsi nimefurahi design ya iPhone 17 Pro Max ilivyobadilika kidogo, naona imekuwa nzuri zaidi
Kwa Samsung kuanzia S22 Ultra design ilikuwa perfect tayari. Inafaa kutumika hata 2026, at least according to me
Yeah wachina wako obsessed sana na kucopy simu za makampuni makubwa, wakati wanao uwezo wa kutengeneza simu zenye recognition yao wenyewe.Mbaya zaidi wachina nao wameanza kuwakopi Apple na Google,xiaomi anataoa simu unaweza jua ni iPhone 16,Wakina vivo nao wanafyatua simu design kama google tu,yani juzi napitia pitia masoko ya China nakutana na simu unaweza jua iPhone au google .
Leo nimeona mwarabu fulani anauza bongo, na nimeona post yake tik tokHii nimnunulie Seran pindi itakapofika Bongo.