Samsung wamezindua simu Galaxy S26 Series!

Samsung wamezindua simu Galaxy S26 Series!

Ilikuwepo kwenye Xiaomi 11 Ultra lakini ilikuwa limited sana, hii sasahivi wameiongezea functionality nyingi zaidi.

Hata hivyo wachina wanajitahidi lwenye idea mpya kwa miaka ya karibuni, ni kama tu Samsung walivyoleta curved screens, flip phones na foldables miaka ya nyuma

Chinese phones zikaleta variable aperture kwenye rear cameras, wakaleta simu ambazo unaweza kupachika lens za kamera kwa nyuma, wakaleta photography kit, wakaleta hii wave and share, sasahivi wameleta tena ring kwenye camera ambayo ukiizingusha ni multipurpose

Sisemi kuwa simu za China ni perfect, nasema tu wanajitahidi kuja na simu zenye unique features tofauti badala ya kuwa simu za kufanana fanana.
Na pia sisemi kuwa kurudia design za simu kila mwaka ni vibaya, it's not bad at all
Vyote hivi wamecopy kwa Nokia lakini,

Kampuni zote za Kichina, Xiaomi, Huawei, kina Oppo etc Research centre zao zipo Finland, wanatumia wafanyakazi wa zamani wa Nokia Kutumia feature za zamani za pureview, ukiangalia lens Hadi kina Vivo wanatumia Zeiss.

Hata Ku wave nakumbuka Nokia N9 ilianzisha hizo gestures,
 
Vyote hivi wamecopy kwa Nokia lakini,

Kampuni zote za Kichina, Xiaomi, Huawei, kina Oppo etc Research centre zao zipo Finland, wanatumia wafanyakazi wa zamani wa Nokia Kutumia feature za zamani za pureview, ukiangalia lens Hadi kina Vivo wanatumia Zeiss.

Hata Ku wave nakumbuka Nokia N9 ilianzisha hizo gestures,
Nice to know. Sikujua kama features zote kwenye simu za China wamecopy kutoka kwa Nokia
 
Leo nimeona mwarabu fulani anauza bongo, na nimeona post yake tik tok
Inakuwa released march 11, ila kwa sasa unaweza kufanya pre order. Huyo anaeziuza sijui kazitoa wapi asee. Seran fanya follow up tusije lizwa asali wangu.
 
Simu toleo jipya si kuhusu ubora , bali ni hype tu. Tunakimbilia wazo la ‘mpya’ zaidi ya uhalisia wa simu yenyewe. Hyperreality imetupofuwa.
 
Kuna mtu humwambii kitu kuhusu S9,S10....ndio simu ya ndoto yake anayotamani aimiliki!

Kweli maisha hayako fair
 
Inakuwa released march 11, ila kwa sasa unaweza kufanya pre order. Huyo anaeziuza sijui kazitoa wapi asee. Seran fanya follow up tusije lizwa asali wangu.
Ukute mchina kashafanya yake😂 tusubiri tu hiyo march mi mambo ya cm ata sielewagi tusije lizwa bure😁
 
Ukute mchina kashafanya yake😂 tusubiri tu hiyo march mi mambo ya cm ata sielewagi tusije lizwa bure😁
Kama sikosei samsung hua wakizindua simu wanakua tayar washatoa mzigo kwa wale waliopreoder masaa machache tu baada ya uzinduzi mzigo uko sokoni. NAIONA PIA SOKO LA PINDOUDOU WASHAWEKA
 

Attachments

  • IMG_20260226_221953.jpg
    IMG_20260226_221953.jpg
    370.6 KB · Views: 6
Kama sikosei samsung hua wakizindua simu wanakua tayar washatoa mzigo kwa wale waliopreoder masaa machache tu baada ya uzinduzi mzigo uko sokoni. NAIONA PIA SOKO LA PINDOUDOU WASHAWEKA
Asante ngoja niitafute huko nione!
 
Back
Top Bottom