christhekatt
Member
- May 13, 2013
- 40
- 30
hivi unaijua kampuni ya huawei vizuri? Sio tecno hiyo, yaani hao sumsang wanasubiri sana kwa huawei. Kilichowasaidia samsung waliwahi kuingia sokoni.Nijuavyo mimi Samsung ni miongoni mwanangu kampuni kubwa sana kiasi kwamba kulinganisha na Huawei ni matusi ya nguoni.