Access Denied
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 655
- 209
Kwa uzoefu wangu tu chukua LG ya Korea.
Mwaka 2014 nilichukua LG bila kujua brand ya South Africa aisee mwaka mmoja baadae iliungua kadi ikabidi nibadili miaka miwili mbele ikaungua zile LED strips nazo ikabidi nibadili. Matengenezo yako pia ni expensive kidogo.
Mwaka 2019 niliamua kununua LG tena Nanocell hii nilihakikisha ni brand ya Korea. Ipo mpaka sasa inapiga kazi very impressive hutajuta na ina features nyingi sana ambazo zitakupa a real value of ur money
Mwaka 2014 nilichukua LG bila kujua brand ya South Africa aisee mwaka mmoja baadae iliungua kadi ikabidi nibadili miaka miwili mbele ikaungua zile LED strips nazo ikabidi nibadili. Matengenezo yako pia ni expensive kidogo.
Mwaka 2019 niliamua kununua LG tena Nanocell hii nilihakikisha ni brand ya Korea. Ipo mpaka sasa inapiga kazi very impressive hutajuta na ina features nyingi sana ambazo zitakupa a real value of ur money