Sodium 23
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 484
- 492
Thanks mkuu!Kama una Budget nenda Kwa mawakala Official, kwa LG maduka ya Mo kama Moja lipo Nkurumah mjini na Nasra tower kkoo. Mo pia ni agent wa Tcl ila sijui kama anaziweka kwenye showroom zake.
Kama Samsung nafkiri Bado wapo Jmall mjini.