Nyamwage
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 634
- 1,535
Habari
Nimeingia kariakoo kununua RAM nimemwambia muuzaji nahitaji ram DDR3 GB 8 ananiuliza tena unataka ipi PC3L au PC3 nikabaki mdomo wazi nikamwambia hebu nipe elimu kidogo tofauti ni nini kati ya hizo mbili kaniambia PC3L ni latest inaweza isisome kwenye PC za zamani na PC3 ni ya kitambo inaweza isisome kwenye nija za PC3L laptop yangu ni Dell latitude E5530 mpaka nimeamua kurudi nyumbani bila kununua hiyo ram nikaifungua PC ili kuikagua ina ipi kati ya hizo nikakuta ina ram mbili tofauti moja ya 2GB ina PC3 na nyingine ni 4GB ina PC3L jumla ni 6GB sasa hapo sijui ipi nia nzuri na bora kuliko nyingine msaada wa kitaalamu tafadhali nichukue ipi
Nimeingia kariakoo kununua RAM nimemwambia muuzaji nahitaji ram DDR3 GB 8 ananiuliza tena unataka ipi PC3L au PC3 nikabaki mdomo wazi nikamwambia hebu nipe elimu kidogo tofauti ni nini kati ya hizo mbili kaniambia PC3L ni latest inaweza isisome kwenye PC za zamani na PC3 ni ya kitambo inaweza isisome kwenye nija za PC3L laptop yangu ni Dell latitude E5530 mpaka nimeamua kurudi nyumbani bila kununua hiyo ram nikaifungua PC ili kuikagua ina ipi kati ya hizo nikakuta ina ram mbili tofauti moja ya 2GB ina PC3 na nyingine ni 4GB ina PC3L jumla ni 6GB sasa hapo sijui ipi nia nzuri na bora kuliko nyingine msaada wa kitaalamu tafadhali nichukue ipi