Wong Fei
JF-Expert Member
- Apr 13, 2016
- 4,817
- 6,442
Habari za saa hizi wanajf!
Nahitaji kununua TV ila sijajua kati ya hizo kampuni mbili ipi ni nzuri kwenye ubora wa picha na kudumu.
Nasikia Samsung TV ipo ya kichina, UK, Korea na South Afrika. Kuna ukweli kwenye hili?
Maoni yenu wanajf tafadhali.
Nahitaji kununua TV ila sijajua kati ya hizo kampuni mbili ipi ni nzuri kwenye ubora wa picha na kudumu.
Nasikia Samsung TV ipo ya kichina, UK, Korea na South Afrika. Kuna ukweli kwenye hili?
Maoni yenu wanajf tafadhali.