baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 5,886
- 12,470
Samsung na Sky Hynx ndio watengeneza Memory wakubwa Duniani, Nani ananunua hizo memory? Apple, HP, Nvidia, Dell na wengineo wa Taiwan. LG na Samsung Nani ananunua Display zao? Hao hao USA, Automotive Wana export kwa Nani zaidi hao hao North America.Sasa mnavyosema Marekani inaweza kuiangusha S. Korea, wataiangushaje? Maana kikubwa wanachoweza labda kubania Samsung upande wa electronics, tena ni simu na tablets pekee, labda na laptop kama walivyofanyia Huawei
Samsung is bigger than that. Hiyo kampuni ndio imeshafikia hapo, huwezi kuiangusha hata kama ni super power
Hizo kampuni zao zimekuwa wired kuto exist bila USA, Kesho USA akimpiga ban Korea ana Hali ngumu Sana.