Samsung Galaxy S4 feki

Samsung Galaxy S4 feki

Kitabu

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
313
Reaction score
29
Wakuu naombeni msaada,ntajuaje ipi ni feki.ninayo ambayo inaonyesha internal memory ni 5GB na phone memory ni 16 GB,ila nikii connect na computer inaonekana phonememory ni 1.23gb badala ya 16gb.au nimepigwa???????
 
Umepigwa kaka,jipange tena,ndo ukubwa huo,walikuuzia sh.ngapi?
 
Duuuu......inamaana ni mchina????nimechukua Kwa jamaa 300,000
 
Kwakuwa ni Kwa mtu niliona poa kaka
 
pole sana na pia karibu kwenye ulimwengu wa 'CLONES' aka first copy kama tunavyoziita wenyewe..
 
Tumia tu maana hapo ni kama Kuchapiwa ni siri ya Ndani,sasa hiyo usionyeshe mbele za watu maana kuna wenye simu ndogo original

Sasa ww S4 feki mmh! Vumilia ndiyo haki ilivyo.
 
Ila inaspeed nzuri sana kwenye internet
 
Pole sana ndo maisha ila
Kabla ya kununua ungekuja kuuliza
Upate upate ushauri
 
Sidhani kama ni nature yetu ila leadership hakuna, na hii inatokana na mifumo tunayotumia ambayo mingi ni ya kuiga, copy and paste. Ubinafsi umetawala kupita kiasi.

Changa hilo zipo kariakoo zinauzwa laki na 20 mpaka na 80 ila ni copyright ya S4 ni vitu vichache mno vinakataa ikiwemo hiyo ishu ya memory
 
Changa hilo zipo kariakoo zinauzwa laki na 20 mpaka na 80 ila ni copyright ya S4 ni vitu vichache mno vinakataa ikiwemo hiyo ishu ya memory

Hamnaga kitu kama hicho. Hamna Samsung feki-clone ambayo ni copyright ya simu original. Clone ni feki na hazitengenezwi Korea zinatoka kwingine. Ukishanunua clone hiyo ni habari nyingine!!
 
Wakuu naombeni msaada,ntajuaje ipi ni feki.ninayo ambayo inaonyesha internal memory ni 5GB na phone memory ni 16 GB,ila nikii connect na computer inaonekana phonememory ni 1.23gb badala ya 16gb.au nimepigwa???????


Usijaribu kununua samsung zinafojiwa sana ni ngumu sana kujua ipi ni feki na ipi ni real, nunua htc au sony au amazon fire.
Hiyo umepigwa definately ila tembelea youtube kuna video za wataalamu wa simu wanaelezea hiyo fake na real samsungs, see the link below

https://www.youtube.com/watch?v=tYTqeILPNug
 
Ila inaspeed nzuri sana kwenye internet

For your info, kuna thread humu inahusu utambuzi wa simu original na feki. Nadhani ukiisoma itakusaidia kujua, ili usipigwe tena siku nyingine!
 
Back
Top Bottom