Usijaribu kununua samsung zinafojiwa sana ni ngumu sana kujua ipi ni feki na ipi ni real, nunua htc au sony au amazon fire.
Hiyo umepigwa definately ila tembelea youtube kuna video za wataalamu wa simu wanaelezea hiyo fake na real samsungs, see the link below
https://www.youtube.com/watch?v=tYTqeILPNug
Lkn fahamu kua hizo cord ulizotumia *#1111#hii ni test visionau hii *#0*# hizi zote hazikufanyi cm uijue kua ni oringinal hata cm za kichina zinakuba
Cha msingi
Uwangalie feature zake ndio utambue cm orginal au nu feki
Utaingia hapo utangalia
www.gasmarena.com
Na dhani itasaidia
Akishaingiza hiyo code atarajie nini? Kamilisha maelekezo muzee.