Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Ndugu zangu Wanajamii!!!!!
Nina mpango wa kununua simu nzuri na ya kisasa siku za karibuni maana ninakwenda Mwanza kikazi. Kuna jamaa yangu amenishauri ninunue Samsung Galaxy Ace, lakini nilipomuuliza uzuri na ubaya wake akanambia kimsingi hafahamu. Najua wapo wengi ambao wanatumia simu hizo na wapo humu jukwaani.
Tafadhali, anayeijua vizuri simu hii(kwa ubora na udhaifu wake), naomba animwagie. Huku kwetu mkoa mpya wa Katavi, technology ni giza kabisa.
Nina mpango wa kununua simu nzuri na ya kisasa siku za karibuni maana ninakwenda Mwanza kikazi. Kuna jamaa yangu amenishauri ninunue Samsung Galaxy Ace, lakini nilipomuuliza uzuri na ubaya wake akanambia kimsingi hafahamu. Najua wapo wengi ambao wanatumia simu hizo na wapo humu jukwaani.
Tafadhali, anayeijua vizuri simu hii(kwa ubora na udhaifu wake), naomba animwagie. Huku kwetu mkoa mpya wa Katavi, technology ni giza kabisa.