Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,079
- 43,565
S series zote s8 active ndio inakaa na chaji zaidi sema ni ya kuagizia Marekani.Kwenye S series ipi inakaa chaji mkuu atleast siku nzima data ikiwa ON kati ya S6 edge mpaka s7 edge au plus
(Napendelea performance na battery life)
Kuna mdau anasema A30 kwa 470 kariakoo kwanini usitafute hio? Bei ni humo humo na specs nzuri zaidi.Display naona kam zote ni AMOLED labda display naona ya j7pro ni FHD wakt A20 NI HD....ungekuwa ww ungechukuaa ipi
Battery ni km Pro ni 3600MAH na A20 ni 4000 MAH
S7 edge nimeambiwa inakaa chaji ila mtihani ni kuijua Og na CopyS series zote s8 active ndio inakaa na chaji zaidi sema ni ya kuagizia Marekani.
Ndio mkuu kiasi chake, na changamoto nyengine ni kuipata yenye hali nzuri maana miaka 3 imepita.S7 edge nimeambiwa inakaa chaji ila mtihani ni kuijua Og na Copy
Natumia J7 pro pia hii simu ipo vizuri.Mkuu binafsi sio mtaalamu wa simu ila ninatumia Samsung J7 Pro niliwahi wanunulia watu Samsung J4 na Samsung A10 katika kuzifuatilia kwanini vioo viko tofauti mfano J4 yenyewe ina kama chenga chenga kimtindo sio sana ila hii A10 kioo kinaonekana kipo smooth lakini sio smooth kama kioo cha Super Amoled nadhani Chief Mkwawa anaweza kutuelezea vizuri
Noma sana mkuu... Chaji inakaa mpaka kero..Haistuck..Natumia J7 pro pia hii simu ipo vizuri.
Hii simu iko wapi mkuu
Sana mkuu to is the best of the best kwa samsung...Noma sana mkuu... Chaji inakaa mpaka kero..Haistuck..
Hii simu iko wapi mkuu
Uko wapAnahitaji, Samsung A30 Anione nimpe kwa 450,000 Kuna mtu nilimchukulia, anatanga anizungue kwenye pesa, Haijatumika kabisa, imenunuli Tarehe 12 jun unaikagua kwanza ikilidhika unalipia.
Uko wap
Njoo PMMbezi Luis, na kwa kukuondolea wasi wasi wa kuuziwa kifaa kisichofaa, Unaweza kuja upajue nyumbani.
Wakuu kati ya Samsung A10 .OPPO A3s na OPPO A83 mna shauri nichukue ipi
Simu zote zenye wifi zina huo uwezo kwanini usidownload tu 3rd party app store?Mi samsung siku hizi kero tupu, yan nanunua simu laki 4+ alafu haina feature ndogo tu kama ya screen mirroring wakati hadi itel hiyo feature wameweka. So disappointed na J4 plus, naimani hata hizo A10, 20 hazina vitu vingi maana naona wame concetrate kwenye aesthetics kuliko features. Wanataka mionekano ya infinity display na waterdrop za vioo zivutie nje tu.
Juzi J4 plus nimepata OS mpya android 9 pie, ikiwa na One UI nikahsi hiyo feature itakuja sasa hola.
Mwenye 280k alete nimpa J4 plus mint condition na risit yake juu.
Tumia hii app Cast to TV.Mi samsung siku hizi kero tupu, yan nanunua simu laki 4+ alafu haina feature ndogo tu kama ya screen mirroring wakati hadi itel hiyo feature wameweka. So disappointed na J4 plus, naimani hata hizo A10, 20 hazina vitu vingi maana naona wame concetrate kwenye aesthetics kuliko features. Wanataka mionekano ya infinity display na waterdrop za vioo zivutie nje tu.
Juzi J4 plus nimepata OS mpya android 9 pie, ikiwa na One UI nikahsi hiyo feature itakuja sasa hola.
Mwenye 280k alete nimpa J4 plus mint condition na risit yake juu.