TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 15,265
- 25,539
Wako poa sana hawa jamaa, ile programu ya smart split au simu kukuita kwa jina self tracking iko poa sana, sidhani hata hiyo apple anagusa hapo 😁!.Mzee umegusa kwenyewe kabisa mi natumia Vivo yangu y20 ni balaaa sitaki kabisa kuwasikia Tecno ,infinix na hata sumsung maana sumsung amezingua sana kwenye haya matoleo ya A series