ankai
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 3,282
- 4,260
Kampuni ya samsung imeongoza tena kwa mauzo ya simu duniani ndani ya robo ya kwanza ya mwaka 2021 report imetolewa leo
Samsung ameuza simu million76+ iphone ameuza simu million52+ na huawei amedondoka kimauzo mpaka nafasi ya saba
Haya sasa wale team huawei yale madhara ya trump ndo yanazidi kukolea kweli kweli inawezekana kabisa kwa robo ya pili ya mwaka Huawei asiwemo ata kwenye top 20 ya best sales
Samsung ameuza simu million76+ iphone ameuza simu million52+ na huawei amedondoka kimauzo mpaka nafasi ya saba
Haya sasa wale team huawei yale madhara ya trump ndo yanazidi kukolea kweli kweli inawezekana kabisa kwa robo ya pili ya mwaka Huawei asiwemo ata kwenye top 20 ya best sales