Samsung A series ni Failure kwa Samsung!

Samsung A series ni Failure kwa Samsung!

Nimenunua Samsung A30 mwaka wa pili huu haijawahi nisumbua hata kidogo! na sijawahi kuwa na simu nzuri iliyotulia na yenye ubora kama hii! Kuanzia quality ya touch,screen size,speed,sensitivity dah!
Jaribu note na s series.
 
Dah, sasa kwa kutumia A51,tena moja umeshageneralize kuwa A series zote ni bomu!Angalia usijekuwa umepigwa refurbished...
 
Mmh aisee hyo itakua ni ajabu. Mm A50 yangu ilikua inapiga kazi freshy tu na haichagua earphones wala nini. Sister wangu ndio alikua na A51 na sijamsikia akilalamika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke hawezi gundua vitu kama hivo mkuu.. ukiwa mtumiaji wa s na note series utaelewa nazungumza nini
 
Mwanamke hawezi gundua vitu kama hivo mkuu.. ukiwa mtumiaji wa s na note series utaelewa nazungumza nini
Huwezi linganisha A series na Note au S. Simu inayouzwa laki 6 na nusu huwezi fananisha na inayouzwa mil 2 +.

Ila mm niko radhi nitumie A50/A51 kwenda juu kuliko kutumia Note or S series ya zamani kma Note 5 ot S7.

Sasahivi nimehamia Google Pixel. Huku maisha mazuri tu pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah ofcoz.. Saivi nahamia S20 namiss experience nzuri za Samsung.
 
Mwanamke hawezi gundua vitu kama hivo mkuu.. ukiwa mtumiaji wa s na note series utaelewa nazungumza nini
Wewe jamaa niaje bana..unalinganishaje S,Note,na A series kwa scale moja..kuna S series mpya kwa mwaka husika inayouzwa 600k?..Hii tu ilitosha kukuambia kuwa A series ni inferior kwa hao wengine quality and perfomance wise.

Usilinganishe wali wa serena hot na wa mama ntilie pembezoni mwa barabara kisa tu chakula kilichoandalia kwa mchele
 
Wewe jamaa niaje bana..unalinganishaje S,Note,na A series kwa scale moja..kuna S series mpya kwa mwaka husika inayouzwa 600k?..Hii tu ilitosha kukuambia kuwa A series ni inferior kwa hao wengine quality and perfomance wise.

Usilinganishe wali wa serena hot na wa mama ntilie pembezoni mwa barabara kisa tu chakula kilichoandalia kwa mchele
Sawa sawa Mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizo no mid-range siyo flagship hivyo siyo haki kucompare note series vs A series
 
Sio A series tu midrange nyingi Huwezi fananisha na flagship, display na camera ya note 5 ni nzuri kushinda majority kama sio midrange zote.
Uko sawa kabisa boss.. Kama naweza Pata S10 ambayo ni mpya kabisa naweza inunua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom