kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,526
- 8,031
Wataelewa tu...mkuuUtawaacha wengi kwa hizo vocabularies.![]()

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Wataelewa tu...mkuuUtawaacha wengi kwa hizo vocabularies.![]()

Flagship ziko more quality kuanzia note 4 ilianza technology ya QHD super amoled display yenye 518ppi hakuna midrange yoyote mpaka sasa yenye quality hiyo + many features 4k record both camera powerful multi window kiukweli flagship ina raha yake japo nazikubali A series ziko vizuri performance nzuri battery life nzuri ila bado hazitafikia flagshipKwa Miaka kadhaa nimekuwa mtumiaji mzuri wa Note na S series za Samsung, pia nimejaribu J series kidogo though sikupendezwa sana.
Hapa Majuzi kama miezi miwili iliyopita nikaamua nijaribu kutumia A Series za Samsung, Nikachukua A51.
Kwanza Kabisa Simu design ya Upande wa Back Cover ni mbaya yaani haivutii.. inazidiwa hata na note 5 ya mwaka 2015 huko.
Simu ina bad music experience, Note 5 ina mziki mzuri kuizidi.
Simu hii ina performance mbovu mno.. yaani ipo slow sana.
A series zinastack sana zikizidiwa.
Mbaya zaidi inabagua earphones na kuna wakati inastack na uko on call.
Ukitaka uinjoy Simu za Samsung achana na hizi A series.
Mbovu sana hizo simu...nimetukia A10 na A21s ni takataka kabisaUmeuziwa simu mbovu A series ndo toleo jipya la samsung na zina ubora wote japo note na s series nazipigia salut
Yeye tu mwenyewe, nina A10s yangu toka mwaka juzi haijawahi kuzingua chochote japo huwa naiangusha mara kibao, huyo atakuwa ameuziwa tecno kwa nje imeandikwa SamsungMmh aisee hyo itakua ni ajabu. Mm A50 yangu ilikua inapiga kazi freshy tu na haichagua earphones wala nini. Sister wangu ndio alikua na A51 na sijamsikia akilalamika.
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahhaha Amina SeriesLabda mwenzetu unatumia A series ya Kwa mpalange
kama hiiLabda mwenzetu unatumia A series ya Kwa mpalange


View attachment 1704325View attachment 1704324Sasa mkuu yeye stephen4440Jaribu note na s series.
Famba zipo kibao ndugu yangu.Mmuu simu ya 2019 mwishoni refurbished yake bado.. Pia Duka la Samsung haliuzi refurb
ni bovu kwa kulinganisha na samsung flagship au kampuni nyingine zinazoeleweka, sio tecno, infinix na itel.Nikiwaambia hawaelewi.. Toleo bovu kabisa la Samsung
yah hiyo y9 pro, itazizidi simu nyingi za A series, ingawa baadhi zitaiacha.Yeah.. I'm pretty sure hata hizi Huawei Y9 zitakuwa poa zaidi.