Samia ukiachia madaraka kwani utapungukiwa na nini

Samia ukiachia madaraka kwani utapungukiwa na nini

temoin

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2025
Posts
217
Reaction score
476
Eti wakuu nimejaribu tu kuwaza. Kwani bi mkubwa akiamua tu kutokugombea na kurudi kwao kizimkazi kupumzika kwani arapungukiwa na nini maana hatuna deni nae. Chini ya uongozi wake kila kitu kinakwenda halijojo, utekaji, ubabe uhamishaji masai NGORONGORO, kubinafsisha rasilimali za nchi kama bandai n.k. Binafsi natamani itokee miujiza aahirishe kugombea mhula mwingine kidogo tupumue na hili deni la trillion 97 si tumelikubali na tutajichanga na huyo rais ajaye tulilipe ila kwa sasa inatosha mama aende, tafadhali mama tunaomba uende ulipotufikisha panatosha mwache mwingine achukue usukani
 
Huyu mama angelikua ni "kafiri" sidhani kama mngekuja na maneno yenu ya kumkosoa, kumkejeli na wengine mpaka kumtukana.

Kuwa makini sana
Kutokuwa kafiri ndo kumemfanya awe na roho mbaya angekuwa mkristo asingefanya huu ujinga
Huyu mama angelikua ni "kafiri" sidhani kama mngekuja na maneno yenu ya kumkosoa, kumkejeli na wengine hadi kufikia kumtukana.

Kuwa makini sana
 
Huyu mama angelikua ni "kafiri" sidhani kama mngekuja na maneno yenu ya kumkosoa, kumkejeli na wengine hadi kufikia kumtukana.

Kuwa makini s
Mkikosolewa kidogo mnakimbilia kwenye udini.

Magu alikuwa sio "kafiri"?
 
Back
Top Bottom