Samia jisafishe kwanza bado unanuka damu

Samia jisafishe kwanza bado unanuka damu

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,553
Reaction score
57,843
Narudia Tena hutoboi

Jisafishe kwa damu ya October 29

Wafungwa wote wa kisiasa watakutesa Sana.

Utekaji utakutesa sana

Jioshe warudishwe waliopotea hata Kama Ni mafuvu yao.

Mrudie Mungu wako tubu

Ongea na moyo wako damu ni nzito kuliko maji
 
Mkuu unashauri mtu ambaye roho yake ya kibinadamu ishatoweka…Samia yupo kwnye paranoia, ana muogopa kila mtu, akikuhisi kidogo tu unapotezwa, ameshajua hakuna namna nyingine ya kuendelea kuongoza isipokuwa ni kuua, na ikifika mwisho wa awamu yake, aweke mtu wake wa kumlinda, kwasasa ameinua mapanga juu akiitafuta 2030. Na utashuhudia mauji yakiongezeka kwa kasi pale ICC ikifungua kesi rasmi ili kupoteza ushahidi.
 
Ondoa uchafu wako hapa ewe uliyejaa chuki binafsi na kukosa adabu. Acha kuropoka ropoka Hovyo kama lilevi la gongo. Unaweza kuweka ushahidi wa aina yoyote ile wa Rais wetu kuhusika kutoa uhai wa kiumbe chochote kile achilia mbali binadamu?

Rais wetu ni kiongozi safi ,mwenye mikono safi,roho ya huruma ,upendo na hofu ya Mungu .
 
Narudia Tena hutoboi

Jisafishe kwa damu ya October 29

Wafungwa wote wa kisiasa watakutesa Sana.

Utekaji utakutesa sana

Jioshe warudishwe waliopotea hata Kama Ni mafuvu yao.

Mrudie Mungu wako tubu

Ongea na moyo wako damu ni nzito kuliko maji
Akishajisafisha ndo iweje? Utamkubali na kuanza kumuita mama?

Nyie watu wengine siwaelewi kabisa.

Ni kama vile mnampenda sana na akifanya vile mnavyomshauri basi yote aliyoyafanya mtamsamehe.

Kwangu hakuna awezalo kufanya.

Kaua maelfu ya Watanzania wakiwemo watoto wadogo kabisa.

Hayo makosa kwangu hayasameheki na hakuna awezalo kufanya litalonifanya nibadili msimamo.

Samia ni muuaji na ninamchukia sana na daima nitamchukia.

Mlio katika biashara ya kumpa ushauri nawashangaa sana!
 
Back
Top Bottom