Je Luca anajua hili,hapa umempa ushauri ulio bora sana.Siasa za bongo ni upumbavu wa hali ya juu.. Bora hata uwaangalie watoto wa mzee Kikala
Acheni kumsakama mama wa watu. Ndio kwanza ameanza kuongoza Jamhuri ya Muungano. Hizo chokochoko za nini wakuu ?Nashauri Samia apumzike apishe wengine wafanye kazi
Pia watu wake wa karibu wote WANATAKIWA kupumzika
Asipokubali atatoka kwa aibu
Ni ushauri anaweza kuuchukua au kuuacha ila aongee na nafsi yake pia aongee na Mungu wake
Asije kusema atukumwambia
Samia anayekwambia ukweli anakupenda Sana .
Miruzi mingi ya machawa inakupoteza Samia ........
Tukiwaambia No reform no Election muwe mnaelewa!.
Unafikiri kupata uchawa ni kirahisi hivyo meku?Ni kwasababu ni mambo unayopenda kusikia
Nakuunga mkono. Mwengine akija wataanza kulalamika. Yani washasahau yote mabaya Yule dikteta alikuwa akifanya.Hauna ushahidi acheni siasa za kuleta matukio ya hovyo, hakuna kibaya anafanya ..Hizo ni changamoto na atamaliza tu ..Yule alikuwa mnamuita dikteta ...
Hakuna lolote!Nashauri Samia apumzike apishe wengine wafanye kazi
Pia watu wake wa karibu wote WANATAKIWA kupumzika
Asipokubali atatoka kwa aibu
Ni ushauri anaweza kuuchukua au kuuacha ila aongee na nafsi yake pia aongee na Mungu wake
Asije kusema atukumwambia
Samia anayekwambia ukweli anakupenda Sana .
Miruzi mingi ya machawa inakupoteza Samia ........
Tukiwaambia No reform no Election muwe mnaelewa!.
Acha uongo wewe,nchi gani hiyo Umeona Samia hakubaliki? Shida yako ukiamka asubuhi tu unatafuta Habari mbaya za kutengeneza zinazomhusu rais mwisho wa siku ubongo unaujaza upuuzi mtupu kiasi kwmb unakuwa kma mwehu sasa..kichwani unaskia mivumo Eti Rais raia hawamtaki,mbona sisi wote tupo Huku mtaani na hatuoni hzo kelele?Samia anatakiwa awe mwelewa aondoke jamani sijawai kuona RAIS asiokubalika kama huyu yani ni kila kona ya nchi..atalazimisha lkn kulazimisha kutawala watu ambao hawakutaki hio ni laana mama ,watu watakuombea mabaya tena kwa wingi.Achana na hiko kiti,kiache kabisa jijengee heshima yako ulobaki nayo.
Siongei kwa ushabiki jaman fanyeni research ndogo tu kati ya watu 10 unaowajua wanaomkubali huyu mama ni wangapi alafu lete Sample hapa.
Yani sio vijana,wazee wala wanawakeni HAKUBALIKI NA HAUZIKI!
Unaonekana haujui kitu ,endele kuwasikilia wakina sarungi na Mange ...Narudia tena ! Rais hausiki wala hao wanaomkosoa hawajui.Mbona kufoka kwingi hapa situnaongea au kuna ugomvi?
Endelea kula huo mrija wako ila jua huu mwaka ndio mwisho mpumbavu mmoja usiejali Taifa lako wala wanao wataishi maisha gani huko mbeleni..umekalia uChawa tu hapo eti na ww nyumbani unaitwa babaaa pyeeeeeeeAcha uongo wewe,nchi gani hiyo Umeona Samia hakubaliki? Shida yako ukiamka asubuhi tu unatafuta Habari mbaya za kutengeneza zinazomhusu rais mwisho wa siku ubongo unaujaza upuuzi mtupu kiasi kwmb unakuwa kma mwehu sasa..kichwani unaskia mivumo Eti Rais raia hawamtaki,mbona sisi wote tupo Huku mtaani na hatuoni hzo kelele?
Siasa kama ni za kipumbavu basi wanatakiwa watu wa kuzifanya ziwe za maana. Na hao watu ni wananchi wote kwa umoja wao.Siasa za bongo ni upumbavu wa hali ya juu.. Bora hata uwaangalie watoto wa mzee Kikala
Mzee Mpango alinusa kitu akaamua kujiweka pembeni mwenuewe na sasa Majaliwa amenusa kitu kile kile hasa baada ya Makonda na Lengai kuchukua fomu ndani ya chama za kugombea.Nashauri Samia apumzike apishe wengine wafanye kazi
Pia watu wake wa karibu wote WANATAKIWA kupumzika
Asipokubali atatoka kwa aibu
Ni ushauri anaweza kuuchukua au kuuacha ila aongee na nafsi yake pia aongee na Mungu wake
Asije kusema atukumwambia
Samia anayekwambia ukweli anakupenda Sana .
Miruzi mingi ya machawa inakupoteza Samia ........
Nitasema kweli daima uongo kwangu mwiko!
Tukiwaambia No reform no Election muwe mnaelewa!.
Nenda ikulu kamwambieNashauri Samia apumzike apishe wengine wafanye kazi
Pia watu wake wa karibu wote WANATAKIWA kupumzika
Asipokubali atatoka kwa aibu
Ni ushauri anaweza kuuchukua au kuuacha ila aongee na nafsi yake pia aongee na Mungu wake
Asije kusema atukumwambia
Samia anayekwambia ukweli anakupenda Sana .
Miruzi mingi ya machawa inakupoteza Samia ........
Nitasema kweli daima uongo kwangu mwiko!
Tukiwaambia No reform no Election muwe mnaelewa!.
Umesikia yule wa Muhimbili waliyempiga kisu cha kujichinja na akaponaNashauri Samia apumzike apishe wengine wafanye kazi
Pia watu wake wa karibu wote WANATAKIWA kupumzika
Asipokubali atatoka kwa aibu
Ni ushauri anaweza kuuchukua au kuuacha ila aongee na nafsi yake pia aongee na Mungu wake
Asije kusema atukumwambia
Samia anayekwambia ukweli anakupenda Sana .
Miruzi mingi ya machawa inakupoteza Samia ........
Nitasema kweli daima uongo kwangu mwiko!
Tukiwaambia No reform no Election muwe mnaelewa!.
That's whyNashauri Samia apumzike apishe wengine wafanye kazi
Pia watu wake wa karibu wote WANATAKIWA kupumzika
Asipokubali atatoka kwa aibu
Ni ushauri anaweza kuuchukua au kuuacha ila aongee na nafsi yake pia aongee na Mungu wake
Asije kusema atukumwambia
Samia anayekwambia ukweli anakupenda Sana .
Miruzi mingi ya machawa inakupoteza Samia ........
Nitasema kweli daima uongo kwangu mwiko!
Tukiwaambia No reform no Election muwe mnaelewa!.