Atateseka mwenyewe katika kipindi Cha kuongozaAsipo pumzika utachukua hatua gani?
Miaka mitano ijayo atakuwa kama Kasongo anavyoteseka huko Kenya
Atateseka mwenyewe katika kipindi Cha kuongozaAsipo pumzika utachukua hatua gani?
Magufulanga alitokaje?Nani atamtoa
Kwa hiyo Rais aache kazi zake afuatilue wakosoaji?Unasaka uteuzi kwa njia haramu za kishetani
Naona umaskini ni tatizo ,tafute pesa unaongea bila ya ushahidi ...Hii nchi kila mtu ana majukumu yake ,ni nchi kubwa Rais ni mkuu wa nchi ila hana uwezo wa kushughulika na wote..Ushahidi uletewe hapo ghetto unaposhinda ukivuta Bangi? Wewe ulishakariri mama yako ni mungu ni malaika hana Dhambi na wewe ni mnufaika wa vitendo haramu vya kishetani hata uletewi nini utabisha tu
Tafia kwenye kitiNani atamtoa
Umempa ushauri mzuri sana kwanza akubariki ndio maana afuati kanuni za chama hii inaonesha ni kiasi Gani anajuwa kwamba endapo akifata kanuni atapigwa chini jambo ambalo ataki litokee.Nashauri Samia apumzike apishe wengine wafanye kazi
Pia watu wake wa karibu wote WANATAKIWA kupumzika
Asipokubali atatoka kwa aibu
Ni ushauri anaweza kuuchukua au kuuacha ila aongee na nafsi yake pia aongee na Mungu wake
Asije kusema atukumwambia
Samia anayekwambia ukweli anakupenda Sana .
Miruzi mingi ya machawa inakupoteza Samia ........
Nitasema kweli daima uongo kwangu mwiko!
Tukiwaambia No reform no Election muwe mnaelewa!.