Samia anatakiwa kupumzika it's over!

Samia anatakiwa kupumzika it's over!

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,635
Reaction score
58,276
Nashauri Samia apumzike apishe wengine wafanye kazi

Pia watu wake wa karibu wote WANATAKIWA kupumzika

Asipokubali atatoka kwa aibu

Ni ushauri anaweza kuuchukua au kuuacha ila aongee na nafsi yake pia aongee na Mungu wake

Asije kusema atukumwambia

Samia anayekwambia ukweli anakupenda Sana .

Miruzi mingi ya machawa inakupoteza Samia ........

Nitasema kweli daima uongo kwangu mwiko!

Tukiwaambia No reform no Election muwe mnaelewa!.
 
Sawa Tanzagiza
Acha ujuha ,Rais hana muda wa kumfuatilia mtu wala kutoa hukum..Soma uelewe deep state wanaweza kukupata hata wewe hiyo ni kazi yao ..Raisi hausiki achana na porojo za wanasiasa.
 
Back
Top Bottom