Samia anatakiwa kupumzika it's over!

Samia anatakiwa kupumzika it's over!

Nashauri Samia apumzike apishe wengine wafanye kazi

Pia watu wake wa karibu wote WANATAKIWA kupumzika

Asipokubali atatoka kwa aibu

Ni ushauri anaweza kuuchukua au kuuacha ila aongee na nafsi yake pia aongee na Mungu wake

Asije kusema atukumwambia

Samia anayekwambia ukweli anakupenda Sana .

Miruzi mingi ya machawa inakupoteza Samia ........

Nitasema kweli daima uongo kwangu mwiko!

Tukiwaambia No reform no Election muwe mnaelewa!.
Kwanza ameshazeeka
 
Hauna ushahidi acheni siasa za kuleta matukio ya hovyo, hakuna kibaya anafanya ..Hizo ni changamoto na atamaliza tu ..Yule alikuwa mnamuita dikteta ...
Watanzania ni kundi la binadamu wapuuzi pengine kuliko makundi yote barani afrika.

Hawana jema hata kidogo.
 
Nashauri Samia apumzike apishe wengine wafanye kazi

Pia watu wake wa karibu wote WANATAKIWA kupumzika

Asipokubali atatoka kwa aibu

Ni ushauri anaweza kuuchukua au kuuacha ila aongee na nafsi yake pia aongee na Mungu wake

Asije kusema atukumwambia

Samia anayekwambia ukweli anakupenda Sana .

Miruzi mingi ya machawa inakupoteza Samia ........

Nitasema kweli daima uongo kwangu mwiko!

Tukiwaambia No reform no Election muwe mnaelewa!.
Kwa jinsi alivyojipanga kujinufaisha na rasilimali za Tanganyika sioni kama atapumzika soon. Yaani keshajimegea ardhi na kujipachika kwenye umiliki wa rasilimali muhimu (kupitia kwa uratibu wa kifua kipana aka Mchengerwa na Bashite). Si pale Arusha, Ngorongoro, Karatu, na maeneo mengine muhimu! Keshajimilikisha vingi!
Funga kazi ni kule Serengeti hifadhini ile deposit ya dhahabu pale kilima fedha imeenda!
WaTanganyika ni wavivu sana kufikiri... Ni wepesi wa kuamini kauli za waongo!
Wakiambiwa Simba na Tembo hawali majani hawajiongezi kufikiria zaidi ya boksi!
 
Hauna ushahidi acheni siasa za kuleta matukio ya hovyo, hakuna kibaya anafanya ..Hizo ni changamoto na atamaliza tu ..Yule alikuwa mnamuita dikteta ...
Ingependeza sana kama masuala ya muungano yangeishia kwenye yale tunayoungana kama bahari, Uvuvi, utalii wa fukwe...
LAKINI kwa hiki kinachoendelea Tanganyika inaporwa kila rasilimali zake za msingi kama madini, ardhi, misitu, wanyapori n.k
Na sasa ni siri ya wazi... Wanasema ngoja twende kwa wale sleeping giants ( WaTanganyika) tukajichukulie mapema!
How comes watu dhahabu si haki yao ya kuzaliwa lakini wawe wa kwanza kujimilikisha na kuwamilikisha Waarabu?
Anyways, Resource Curse is a real discourse!
 
Nashauri Samia apumzike apishe wengine wafanye kazi

Pia watu wake wa karibu wote WANATAKIWA kupumzika

Asipokubali atatoka kwa aibu

Ni ushauri anaweza kuuchukua au kuuacha ila aongee na nafsi yake pia aongee na Mungu wake

Asije kusema atukumwambia

Samia anayekwambia ukweli anakupenda Sana .

Miruzi mingi ya machawa inakupoteza Samia ........

Nitasema kweli daima uongo kwangu mwiko!

Tukiwaambia No reform no Election muwe mnaelewa!.
🤣🤣🤣🤣
 
Nashauri Samia apumzike apishe wengine wafanye kazi

Pia watu wake wa karibu wote WANATAKIWA kupumzika

Asipokubali atatoka kwa aibu

Ni ushauri anaweza kuuchukua au kuuacha ila aongee na nafsi yake pia aongee na Mungu wake

Asije kusema atukumwambia

Samia anayekwambia ukweli anakupenda Sana .

Miruzi mingi ya machawa inakupoteza Samia ........

Nitasema kweli daima uongo kwangu mwiko!

Tukiwaambia No reform no Election muwe mnaelewa!.
Wenye ccm yao akina majaliwa mpango Bashiru mpina ,makamba, Nape, kinana na wenzao hawamtaki ingawa ccm chawa yaani ibirisi wa ccm akina Amos makala wanufaika wa kula mabilioni ya kuidhoofisha chadema wao wanaendelea kula pesa na kumdanganya kuwa anakubalika
 
Ingependeza sana kama masuala ya muungano yangeishia kwenye yale tunayoungana kama bahari, Uvuvi, utalii wa fukwe...
LAKINI kwa hiki kinachoendelea Tanganyika inaporwa kila rasilimali zake za msingi kama madini, ardhi, misitu, wanyapori n.k
Na sasa ni siri ya wazi... Wanasema ngoja twende kwa wale sleeping giants ( WaTanganyika) tukajichukulie mapema!
How comes watu dhahabu si haki yao ya kuzaliwa lakini wawe wa kwanza kujimilikisha na kuwamilikisha Waarabu?
Anyways, Resource Curse is a real discourse!
Muungano ufe Tanganyika iwe huru
 
Acha ujuha ,Rais hana muda wa kumfuatilia mtu wala kutoa hukum..Soma uelewe deep state wanaweza kukupata hata wewe hiyo ni kazi yao ..Raisi hausiki achana na porojo za wanasiasa.
Hii mikwara yako ya kishetani imefanya tuone kuwa wewe binafsi ndiyo unaua na kuteka watu laana zote zimiminike kwao huko ulipo
 
Hauna ushahidi acheni siasa za kuleta matukio ya hovyo, hakuna kibaya anafanya ..Hizo ni changamoto na atamaliza tu ..Yule alikuwa mnamuita dikteta ...
Ushahidi uletewe hapo ghetto unaposhinda ukivuta Bangi? Wewe ulishakariri mama yako ni mungu ni malaika hana Dhambi na wewe ni mnufaika wa vitendo haramu vya kishetani hata uletewi nini utabisha tu
 
Unaonekana haujui kitu ,endele kuwasikilia wakina sarungi na Mange ...Narudia tena ! Rais hausiki wala hao wanaomkosoa hawajui.
Unasaka uteuzi kwa njia haramu za kishetani
 
Mzee Mpango alinusa kitu akaamua kujiweka pembeni mwenuewe na sasa Majaliwa amenusa kitu kile kile hasa baada ya Makonda na Lengai kuchukua fomu ndani ya chama za kugombea.
Hili halihitaji watu waliosoma Cuba kung'amua ni wazi walioangamiza utengamano na umoja wa kitaifa wanakusanywa pamoja kwa ajili ya kusudi la Mungu lililokusudiwa juu yao.
Wenye ccm yao Nape, makamba, Bashiru,kinana, majaliwa, mpango, mpina, na wenzao wengi wanajipanga kumwengua kwenye mbio za Urais kwa uteuzi wa jina la mgombea Urais haukufanyika kidemokrasia
 
Nashauri Samia apumzike apishe wengine wafanye kazi

Pia watu wake wa karibu wote WANATAKIWA kupumzika

Asipokubali atatoka kwa aibu

Ni ushauri anaweza kuuchukua au kuuacha ila aongee na nafsi yake pia aongee na Mungu wake

Asije kusema atukumwambia

Samia anayekwambia ukweli anakupenda Sana .

Miruzi mingi ya machawa inakupoteza Samia ........

Nitasema kweli daima uongo kwangu mwiko!

Tukiwaambia No reform no Election muwe mnaelewa!.
Utampendaje mtu muovu kiasi hiki?
 
Sio apumzike aruhusu ushindani wengine wachukue fomu ya nafasi yake, Alafu amuachie lissu kisha afanye reforms. Hapo hapo atapumzishwa kwa shangwe la taifa
Akifanya hivyo, nami nitaanza kumheshimu angalau kidogo.
 
Nashauri Samia apumzike apishe wengine wafanye kazi

Pia watu wake wa karibu wote WANATAKIWA kupumzika

Asipokubali atatoka kwa aibu

Ni ushauri anaweza kuuchukua au kuuacha ila aongee na nafsi yake pia aongee na Mungu wake

Asije kusema atukumwambia

Samia anayekwambia ukweli anakupenda Sana .

Miruzi mingi ya machawa inakupoteza Samia ........

Nitasema kweli daima uongo kwangu mwiko!

Tukiwaambia No reform no Election muwe mnaelewa!.
Kina chawa Steve Nyerere, Kubwa Jinga Mwijaku, Haji Manara tafadhalini mshaurini mama yenu anakwenda kupotea kisiasa huyu. Jamii ishamchoka hivi sasa, wanamshangaa akitwanga maji kwenye kinu.
 
Back
Top Bottom