Bawabu wa pili
Senior Member
- Nov 14, 2025
- 147
- 432
Joel Nanauka uwe makini sana, usije ukapoteza legacy uliyoitafuta kwa taabu na kwa mda mrefu kwa kutumiwa na huyu bibi kuficha uovu wake
Legacy gani anayo?Nanauka uwe makini sana, usije ukapoteza legacy uliyoitafuta kwa taabu na kwa mda mrefu kwa kutumiwa na huyu bibi kuficha uovu wake
Hajulikani aisee hata mimi ndo nimemsikia leo hiiLegacy ipi mimi ndo namsikia leo!
Alishakuwaga TO.Legacy ipi mimi ndo namsikia leo!
CCM wamekosea sana kukaa kimya kwenye mauajiJoel Nanauka uwe makini sana, usije ukapoteza legacy uliyoitafuta kwa taabu na kwa mda mrefu kwa kutumiwa na huyu bibi kuficha uovu wake
Kuwa TO ndio legacy ya maana? Duh!Alishakuwaga TO.
😀😀😀😀😀Hivi ukiwa motivation speaker unakuwa na legacy?
Kuandika na kutunga vitabu kwa ku copy na ku paste kwa msaada wa AI unakuwa na legacy?
Joel Nanauka uwe makini sana, usije ukapoteza legacy uliyoitafuta kwa taabu na kwa mda mrefu kwa kutumiwa na huyu bibi kuficha uovu wake
Nyie wa Masham ani, Nanauka ana Juli kana toka enzi za group la ndo to yanguHajulikani aisee hata mimi ndo nimemsikia leo hii
Pia ni motivation speaker ma mtunzi wa vitabu.Kuwa TO ndio legacy ya maana? Duh!
Unaelewa maana ya neno legacy?Joel Nanauka uwe makini sana, usije ukapoteza legacy uliyoitafuta kwa taabu na kwa mda mrefu kwa kutumiwa na huyu bibi kuficha uovu wake
Mtunzi alikuwa Elvis Msiba, hakuna cha AI Wala nini, unasoma vitabu vyake hadi mwili wa sisimkA! Kuna baadhi ya Chapter za kitabu cha njama. Ulipokuwa ukimaliza kuzisoma, unakuwa tayari unajua Willy Gamba kama tayari ni....!!! Sema hakuna kitu iliniuma kama 'kuondoka' kwa Veronica!!!Pia ni motivation speaker ma mtunzi wa vitabu.