Sambusa tamu sana

Sambusa tamu sana

Hapo kwenye karanga umenikamata, maana ni mteja wa kudumu wa karanga za kuchoma, iwe za kwenye vimifuko au zile za kupimiwa kwa kijiko.
Kula tu ndugu yangu ili mradi hudhuriki mengine M ungu anajua
 
Mjini ukiwaza kunya kunya tu muda wa kazi kama bata huendelei.
 
Ndiyo maana wengi wenu hamnenepi unaletewa msosi unaanza kuchunguza sijui kimetoka wapi unakula kwa mashaka tu hivi hamjawahi kujiuliza vichaa wanakula majalani lakini wana afya njema kabisa ni kwanini kuna kichaa mtaani kwetu tangu nianze kumjua miaka ya 1972 sijawahi hata kusikia anaumwa mpaka leo hii ni mzee yupo tu mimi ukileta msosi ni kupiga tu mengine atajua aliyekiandaa
 
Ndio maana sifatilii source ya hivi vyakula maana unaweza ukashindwa kula kila kitu
 
Back
Top Bottom