Samaki Mbasa na mbufu kimaumbile wanakaribiana mfanano na Kambale. Mbelele ndiye anayefanana kwa kiasi fulani na Ningu au Sato. Huyu mbelele ndiye mwenye "Network" ya mifupa ndani ya minofu yake. Mbelele akiokwa (akichomwa) baada ya kuwekewa vile vijiti mdomoni hadi mkiani ili aive amenyooka Utampenda.