samaki Aina ya GOGO

samaki Aina ya GOGO

Hawa samaki ziwa victoria nadhani walishapotea mara ya mwisho niliwaona miaka ya 80, GOGO, NINGU, SOGA, Wengine niwataje kwa majina ya kilugha kama NEMBE, NGELE hizo jamii zote kwa maeneo ya ziwa ukanda Musoma, Mwanza na UKEREWE hawapatikani tena sijui kwa upande wa BUKOBA. Gogo simjui kwa jina lingine zaidi ya hilo,
Hao samaki wote wanapatikana bdo wapo. M nko wilaya ya bukombe, ila huku wanakuja wale wa moshi hao sjui nembe, gogo na wengne wapo
 
Hawa samaki ziwa victoria nadhani walishapotea mara ya mwisho niliwaona miaka ya 80, GOGO, NINGU, SOGA, Wengine niwataje kwa majina ya kilugha kama NEMBE, NGELE hizo jamii zote kwa maeneo ya ziwa ukanda Musoma, Mwanza na UKEREWE hawapatikani tena sijui kwa upande wa BUKOBA. Gogo simjui kwa jina lingine zaidi ya hilo,
haitwi gogo anaitwa gogogo........ila kusema ukwel hakuna samaki mtamu kama soga na ningu..........!
 
Hawa samaki ziwa victoria nadhani walishapotea mara ya mwisho niliwaona miaka ya 80, GOGO, NINGU, SOGA, Wengine niwataje kwa majina ya kilugha kama NEMBE, NGELE hizo jamii zote kwa maeneo ya ziwa ukanda Musoma, Mwanza na UKEREWE hawapatikani tena sijui kwa upande wa BUKOBA. Gogo simjui kwa jina lingine zaidi ya hilo,
Wapo wengi kama uyoga
 
Back
Top Bottom