The humble Man
Member
- Mar 26, 2023
- 22
- 36
- Thread starter
- #21
Shukrani sanaSio gogo ni gogogo jaribu pale Iloganzala-Mwanza .Ingawa ni zaidi ya miaka 8 ishapita sijui hata ka kijiwe hiko cha kuuza samaki kama bado kinasavaivu.
Shukrani sanaSio gogo ni gogogo jaribu pale Iloganzala-Mwanza .Ingawa ni zaidi ya miaka 8 ishapita sijui hata ka kijiwe hiko cha kuuza samaki kama bado kinasavaivu.
Anaitwa gogo au gogogo?Kama unafahamu samaki aina ya GOGO, tafadhali nijulishe Jina lake lingine ni lipi, anapatikana wapi kwa mwambao wa ziwa Victoria, kama una picha itasaidia zaidi.
Wanapatikana kwa wingi ukerewe na sometimes sengeremaKama unafahamu samaki aina ya GOGO, tafadhali nijulishe Jina lake lingine ni lipi, anapatikana wapi kwa mwambao wa ziwa Victoria, kama una picha itasaidia zaidi.
Ladha yake ni tamu saaana aiseeNingu my fav.
Ujue ili iwejeSina picha, natamani kujua kama Kuna wajuzi wanijulishe.
Ninashida naye huyoUjue ili iweje
Hao samaki wote wanapatikana bdo wapo. M nko wilaya ya bukombe, ila huku wanakuja wale wa moshi hao sjui nembe, gogo na wengne wapoHawa samaki ziwa victoria nadhani walishapotea mara ya mwisho niliwaona miaka ya 80, GOGO, NINGU, SOGA, Wengine niwataje kwa majina ya kilugha kama NEMBE, NGELE hizo jamii zote kwa maeneo ya ziwa ukanda Musoma, Mwanza na UKEREWE hawapatikani tena sijui kwa upande wa BUKOBA. Gogo simjui kwa jina lingine zaidi ya hilo,
haitwi gogo anaitwa gogogo........ila kusema ukwel hakuna samaki mtamu kama soga na ningu..........!Hawa samaki ziwa victoria nadhani walishapotea mara ya mwisho niliwaona miaka ya 80, GOGO, NINGU, SOGA, Wengine niwataje kwa majina ya kilugha kama NEMBE, NGELE hizo jamii zote kwa maeneo ya ziwa ukanda Musoma, Mwanza na UKEREWE hawapatikani tena sijui kwa upande wa BUKOBA. Gogo simjui kwa jina lingine zaidi ya hilo,
Nenda feriNinashida naye huyo
Ndera?GOgogo ni wa ziwa victoria.
Ni watamu sana hasa wakiwa na mafuta na mayai.
Anafanana na mumi lakini pale kwenye ndevu za mumi yeye ana mifupa miwili migumu (mmoja kila upande).
Wanapendeza zaidi wakipikwa mchemsho.
Wanapatikana zaidi visiwani kama ukerewe
View attachment 3447361
Ongeza na Mbozu.Kuna...
GOGOGO
Kamongo
Furu au furugobe
Ningu
Soga
Mumi
Mbete
Wako wengi ambao sio maarufu ziwani. Watu wamezoea Sato na Sangara tu
Wapo wengi kama uyogaHawa samaki ziwa victoria nadhani walishapotea mara ya mwisho niliwaona miaka ya 80, GOGO, NINGU, SOGA, Wengine niwataje kwa majina ya kilugha kama NEMBE, NGELE hizo jamii zote kwa maeneo ya ziwa ukanda Musoma, Mwanza na UKEREWE hawapatikani tena sijui kwa upande wa BUKOBA. Gogo simjui kwa jina lingine zaidi ya hilo,
GOGOGO Kiswati maana yake ni kilo mbili za bangiJina lake kama anavyofahamika ukanda wa Ziwa Victoria ni GOGOGO. Kwa bahati mbaya nipo huku mbali na sehemu hizo nashindwa kukutumia picha.