Ngorunde
Platinum Member
- Nov 17, 2006
- 5,493
- 11,570
Hii inaweza kuwa imechangia sana kupotea kwa hao samaki.Ni watamu sana hasa wakiwa na mafuta na mayai.
Hii inaweza kuwa imechangia sana kupotea kwa hao samaki.Ni watamu sana hasa wakiwa na mafuta na mayai.
OkayAnaitwa kolokolo, ngonje au ngogo.
Kaa vizuri na wajita watakupa gogo, ningu n.k.
Haitwi gogo anaitwa gogogoKama unafahamu samaki aina ya GOGO, tafadhali nijulishe Jina lake lingine ni lipi, anapatikana wapi kwa mwambao wa ziwa Victoria, kama una picha itasaidia zaidi.