Samahani: Njooni mnishauri kwa makini...

Samahani: Njooni mnishauri kwa makini...

Utapewa ushauri wa kutosha tu lakini mwisho wa siku wewe ndo utayefanye maamuzi.

Follow your heart bt always remember to carry your brains with you
 
Huyu namjua mkuu alichemka akarudi asaivi anapiga bodaboda bolt😂
Yupo wapi na alirudi lini na alichemka nini ilikuaje akarudi? Sasa huyo ndio wa kukupa ABC kuishi kwenye mabanda ya kufugia kuku mchezo
 
Wakuu by age nina 25
Mwaka huu ndio nahitimu shahada yangu ya kwanza kwenye masuala ya maendeleo ya jamii.

Nina Biashara ambayo inauhakika wa kunipa 500k kila mwezi ambayo naweza kuifanya mara baada ya KUMALIZA CHUO.

Hii ni mpango wa kwanza.

Mpango wa pili, nimepata connection ya KAZI ya ulinzi, usafi na ujenzi Katika nchi za UAE kama Qatar Dubai na Kuwait. Hii ni uhakika kwa sababu agent ni ndugu yangu wa damu so uwezekano wa kutapeliwa hakuna.

Sasa naombeni ushauri, niende kutafuta maisha nje, au nikomae na Biashara zangu hapa hapa Tanzania?.

Ushauri ambao mtanipa hapa ndio nitakao ishi nao naombeni msaada!!
Katika maisha yako kama kijana mdogo wa miaka 20+ kuwa na ndoto ya siku moja kuwa Bosi, na siyo kibarua (mlinzi/house boy /mfanya usafi) wa Mabosi wengine.

Sijui umenielewa!!!
 
Yupo wapi na alirudi lini na alichemka nini ilikuaje akarudi? Sasa huyo ndio wa kukupa ABC kuishi kwenye mabanda ya kufugia kuku mche

Katika maisha yako kama kijana mdogo wa miaka 20+ kuwa na ndoto ya siku moja kuwa Bosi, na siyo kibarua (mlinzi/house boy /mfanya usafi) wa Mabosi wengine.

Sijui umenielewa!!!
Mkuu hizo KAZI inakuwa njia ya kupata mtaji Zaidi wa kufikia malengo au?
 
Yupo wapi na alirudi lini na alichemka nini ilikuaje akarudi? Sasa huyo ndio wa kukupa ABC kuishi kwenye mabanda ya kufugia kuku mchezo
Huyu alivoenda kule akawa anafanya KAZI za online kuagiza bidhaa nakumbuka Kuna Uzi aliandika maisha yamemshinda

Akarudi asaivi anapiga bodaboda Sasa Mimi sitaki kujifunza kwa waliofeli watanikatisha Tamaa mkuu au😂
 
UAE kuwa mlinzi?
Be serious bwana, Fanya biashara acha kukurupuka. Biashara inakuwa haswa ukikaa mwenyewe bila kuwa na mambo mengi.
 
UAE kuwa mlinzi?
Be serious bwana, Fanya biashara acha kukurupuka. Biashara inakuwa haswa ukikaa mwenyewe bila kuwa na mambo mengi.
Sasa mkuu kama utakuwa mlinzi UAE na utalipwa 1.5m Kuna shida Gani?
 
Sasa mkuu kama utakuwa mlinzi UAE na utalipwa 1.5m Kuna shida Gani?
1.5 unaiona kubwa?
Mishahara inalipwa kutokana na nchi yenyewe lakini daily expenses na gaharama za maisha unakuta ni kubwa hivyo utajikuta Kama unalipwa 300,000 kwa mwezi.
 
1.5 unaiona kubwa?
Mishahara inalipwa kutokana na nchi yenyewe lakini daily expenses na gaharama za maisha unakuta ni kubwa hivyo utajikuta Kama unalipwa 300,000 kwa mwezi.
Hapana
Hapo accommodation zote kwa boss makazi
Usafiri
Na bima

Wewe ni chakula tu mkuu
 
Wakuu by age nina 25
Mwaka huu ndio nahitimu shahada yangu ya kwanza kwenye masuala ya maendeleo ya jamii.

Nina Biashara ambayo inauhakika wa kunipa 500k kila mwezi ambayo naweza kuifanya mara baada ya KUMALIZA CHUO.

Hii ni mpango wa kwanza.

Mpango wa pili, nimepata connection ya KAZI ya ulinzi, usafi na ujenzi Katika nchi za UAE kama Qatar Dubai na Kuwait. Hii ni uhakika kwa sababu agent ni ndugu yangu wa damu so uwezekano wa kutapeliwa hakuna.

Sasa naombeni ushauri, niende kutafuta maisha nje, au nikomae na Biashara zangu hapa hapa Tanzania?.

Ushauri ambao mtanipa hapa ndio nitakao ishi nao naombeni msaada!!
Maliza shule kwanza ,pili komaa na biashara yakoo.
 
Back
Top Bottom