Mr Beach Boy
JF-Expert Member
- Apr 15, 2021
- 1,702
- 5,115
- Thread starter
- #61
Mkuu UAE HAKUNA MAKATO YA MSHAHARAKumbuka kuna makato unaweza cheza kwenye m au 900k baada ya makato,sasa si bora ukomae na biashara tu
Mkuu UAE HAKUNA MAKATO YA MSHAHARAKumbuka kuna makato unaweza cheza kwenye m au 900k baada ya makato,sasa si bora ukomae na biashara tu
Shule namaliza next week sawa ahsante kwa ushauriMaliza shule kwanza ,pili komaa na biashara yakoo.
We ulishaamua huna haja ya ushauri, ila kama ungekuwa ndugu yangu niaingekubali labda nchi nyingine zinazoeleweka lakini sio kwa hao jamaa.Hapana
Hapo accommodation zote kwa boss makazi
Usafiri
Na bima
Wewe ni chakula tu mkuu
Yani we foreigner ukae nchi ya watu bure, unataka kusema vibali na kila kitu ni juu ya mwajiri?Mkuu UAE HAKUNA MAKATO YA MSHAHARA
Kuna working visa ambayo inakatwa na muajili kàka ila mshahara wako hauguswi mkuuYani we foreigner ukae nchi ya watu bure, unataka kusema vibali na kila kitu ni juu ya mwajiri?
Mkuu nakucheki PMNimeishi nje ya nchi na Sasa naishi hapa Tanzania ushauri wangu BAKI HAPA! Kwa Nini
Nje ya nchi hakuna kukua kiuchumi utabaki ulipo kwa mda sana huku ki saikolojia ukiumia sana
Hapa unaweza kukua sana kibiashara kama utapata mke mpare au mrangi
PoapoaMkuu nakucheki PM
😃😃😃Mke mrangi au mpale we jamaaNimeishi nje ya nchi na Sasa naishi hapa Tanzania ushauri wangu BAKI HAPA! Kwa Nini
Nje ya nchi hakuna kukua kiuchumi utabaki ulipo kwa mda sana huku ki saikolojia ukiumia sana
Hapa unaweza kukua sana kibiashara kama utapata mke mpare au mrangi
Mkuu mbona masikitiko au nawe ungependa kwenda uarabuni lakini ndo vile tena.
Hiyo kazi imeniliza sana.. 😒😒😒...Mkuu mbona masikitiko au nawe ungependa kwenda uarabuni lakini ndo vile tena.
Ndoto nyevu, si ndivyo?Ndoto inayotimia ni moja tuu
Nyevu!Bado sijakuelewa
Maslahi ya huko yakoje? Kama yako poa jilipue utajiendeleza huko huko... muhimu kuwa na malengo.Inawezekana ila inahitaji muda na mtaji ambayo kwa akili ya kawaida ni ngumu kupata.
Kwa hiyo unataka kusema Nyani Ngabu Kiranga na DIVISHENI FOO wamebaki palepale kiuchumi!Nimeishi nje ya nchi na Sasa naishi hapa Tanzania ushauri wangu BAKI HAPA! Kwa Nini
Nje ya nchi hakuna kukua kiuchumi utabaki ulipo kwa mda sana huku ki saikolojia ukiumia sana
Hapa unaweza kukua sana kibiashara kama utapata mke mpare au mrangi
Mkuu hebu fafanua ili tupate kujifunza kitu.Hiyo kazi imeniliza sana.. 😒😒😒...
Mkuu umekuliza vipi naomba ushuhuda wako mkuuHiyo kazi imeniliza sana.. 😒😒😒...
Wakuu by age nina 25
Mwaka huu ndio nahitimu shahada yangu ya kwanza kwenye masuala ya maendeleo ya jamii.
Nina Biashara ambayo inauhakika wa kunipa 500k kila mwezi ambayo naweza kuifanya mara baada ya KUMALIZA CHUO.
Hii ni mpango wa kwanza.
Mpango wa pili, nimepata connection ya KAZI ya ulinzi, usafi na ujenzi Katika nchi za UAE kama Qatar Dubai na Kuwait. Hii ni uhakika kwa sababu agent ni ndugu yangu wa damu so uwezekano wa kutapeliwa hakuna.
Sasa naombeni ushauri, niende kutafuta maisha nje, au nikomae na Biashara zangu hapa hapa Tanzania?.
Ushauri ambao mtanipa hapa ndio nitakao ishi nao naombeni msaada!!