Samahani: Njooni mnishauri kwa makini...

Samahani: Njooni mnishauri kwa makini...

Hapana
Hapo accommodation zote kwa boss makazi
Usafiri
Na bima

Wewe ni chakula tu mkuu
We ulishaamua huna haja ya ushauri, ila kama ungekuwa ndugu yangu niaingekubali labda nchi nyingine zinazoeleweka lakini sio kwa hao jamaa.
 
Nimeishi nje ya nchi na Sasa naishi hapa Tanzania ushauri wangu BAKI HAPA! Kwa Nini
Nje ya nchi hakuna kukua kiuchumi utabaki ulipo kwa mda sana huku ki saikolojia ukiumia sana
Hapa unaweza kukua sana kibiashara kama utapata mke mpare au mrangi
 
Nimeishi nje ya nchi na Sasa naishi hapa Tanzania ushauri wangu BAKI HAPA! Kwa Nini
Nje ya nchi hakuna kukua kiuchumi utabaki ulipo kwa mda sana huku ki saikolojia ukiumia sana
Hapa unaweza kukua sana kibiashara kama utapata mke mpare au mrangi
😃😃😃Mke mrangi au mpale we jamaa
 
Wakuu by age nina 25
Mwaka huu ndio nahitimu shahada yangu ya kwanza kwenye masuala ya maendeleo ya jamii.

Nina Biashara ambayo inauhakika wa kunipa 500k kila mwezi ambayo naweza kuifanya mara baada ya KUMALIZA CHUO.

Hii ni mpango wa kwanza.

Mpango wa pili, nimepata connection ya KAZI ya ulinzi, usafi na ujenzi Katika nchi za UAE kama Qatar Dubai na Kuwait. Hii ni uhakika kwa sababu agent ni ndugu yangu wa damu so uwezekano wa kutapeliwa hakuna.

Sasa naombeni ushauri, niende kutafuta maisha nje, au nikomae na Biashara zangu hapa hapa Tanzania?.

Ushauri ambao mtanipa hapa ndio nitakao ishi nao naombeni msaada!!

Ushauri wangu;
Omba mkataba wa hiyo ajira au hata ujue wanalipaje
Muhimu: Ukienda Nje hakikisha mkataba una jumuisha BIMA YA AFYA na SEHEMU YA KUKAA/MAKAZI, mengine ni; Likizo ya mwaka, chakula wakati wa duty na nauli ya kukurudisha wakati wa Likizo.
Kama mkataba utajumuisha vyote hivyo na ukaanzia dola $2000 hivi nenda nje....
 
Mkuu USD 2000 hiyo kazi nani anakupa mkuu tena unskilled??
 
Back
Top Bottom