Samahani: Njooni mnishauri kwa makini...

Samahani: Njooni mnishauri kwa makini...

Kaa Tanzania Ila hakikisha Una Passport na u -target kwenda ulaya achana na Uarabuni.

Jitahidi pia utafute skills Kama Udereva itakusadia katika kuingia popote Ila Kazi za ulinzi zina high risk na unaweza hata kuuliwa.
 
Hiyo biashara ushawahi kuifanya au umesimuliwa kwamba return yake kwa mwezi ni 500k.

Ndani ya nafsi yako wewe unatamani nini kati ya hivyo? Unachojisikia ile voice from within.....fata hicho.
 
Hiyo biashara ushawahi kuifanya au umesimuliwa kwamba return yake kwa mwezi ni 500k.

Ndani ya nafsi yako wewe unatamani nini kati ya hivyo? Unachojisikia ile voice from within.....fata hicho.
Hiyo biashara mkuu nimewai kuifanya ila voice within Naona kwenda nje ni best option ndio maana nimeshare ili kupata experience kwenu wataalamu
 
Biashara hiyo umewahi ifanya ama ndio unaifanya mpaka sasa?
 
Hakuna kitu kibaya kama kukosa maamuzi ,juwa lengo lako ktk haya maisha unaitaji nini, pesa tu pesa na freedom, yani ukafanye ulinzi kisa uarabuni sasa si angekuunganisha ujaanza chuo, najuwa lengo lako ni kwamba unaenda kusave kumbuka uarabuni utaingia mkataba hutoruhusiwa kufanya chochote nje ya mkataba bora uende ulaya.,
Biashara ungeipa priority kama ipo legit na uhakika kiasi chake utapata pesa na freedom kwasababu iyo iyo 500k ndo unaenda lipwa uarabuni kwa manyanyaso
 
Hakuna kitu kibaya kama kukosa maamuzi ,juwa lengo lako ktk haya maisha unaitaji nini, pesa tu pesa na freedom, yani ukafanye ulinzi kisa uarabuni sasa si angekuunganisha ujaanza chuo, najuwa lengo lako ni kwamba unaenda kusave kumbuka uarabuni utaingia mkataba hutoruhusiwa kufanya chochote nje ya mkataba bora uende ulaya.,
Biashara ungeipa priority kama ipo legit na uhakika kiasi chake utapata pesa na freedom kwasababu iyo iyo 500k ndo unaenda lipwa uarabuni kwa manyanyaso
Huu ni ukweli mkuu
 
Hakuna kitu kibaya kama kukosa maamuzi ,juwa lengo lako ktk haya maisha unaitaji nini, pesa tu pesa na freedom, yani ukafanye ulinzi kisa uarabuni sasa si angekuunganisha ujaanza chuo, najuwa lengo lako ni kwamba unaenda kusave kumbuka uarabuni utaingia mkataba hutoruhusiwa kufanya chochote nje ya mkataba bora uende ulaya.,
Biashara ungeipa priority kama ipo legit na uhakika kiasi chake utapata pesa na freedom kwasababu iyo iyo 500k ndo unaenda lipwa uarabuni kwa manyanyaso
Mkuu naomba nikujibu
Kwenda ulaya inahitajika mtaji mkubwa sio chini ya 4m ila kwenda Dubai hata 2m unaweza kwenda.

Kuhusu manyanyaso sijajua ni kazi Gani isio na changamoto

Kuhusu kulipwa laki Tano hapana
Ulinzi Kuwait 1.8m
Usafi Qatar 700k
Usafi Dubai 700k
Ujenzi Dubai 800k

Sasa iyo laki Tano ndio nasikia hapa mkuu naomba toa ufafanuzi zaidi
 
Nashukuru sana mkuu kwa hekima na busara zako katika hili
IDDY hajarudi sasa hivi kawa mjanja mjanja anauza accessories kutoka Qatar

Alikua humu na jina lake hilo akalialia wadau wakamfanyia mpango akapaa mpaka Qatar baada ya kufika huko kaleta mrejesho baada ya mwezi tukaona mara kabadiri jina lile jina lake halisi la JF akaliondoa na avatar akamweka kibwengu, kweli Qatar inabadirisha watu
 
Nimesoma tena sijaelewa
Huyu hapa alienda Qatar mcheck mnaweza mkabadirishana namba huko kwa msaada zaidi

 
Huyu hapa alienda Qatar mcheck mnaweza mkabadirishana namba huko kwa msaada zaidi

Kumbe bro una roho nzuri hivi ahsante sana bro
 
Back
Top Bottom