Samahani,naomba ushauri wako hapa!!!

Samahani,naomba ushauri wako hapa!!!

Unajua unapo amua kuolewa ni lazima uwe na historia ndefu na anae kuja kuku oa, nimeweka hii ili nipate ushauri na niweze kujua mambo mengi zaidi kuhusu love, but ushauri mlio nipa nitaufanyia kazi coz ilikuwa ndiyo dhumuni langu!
 
Nina umri wa miaka 20 na kwa sasa nahitaji kuwa na mpenzi ambaye ni lazima aje kunioa
SIFA
1.awe anajitambua yeye ni nani na anatakiwa afanye nini.
Hivyo kama wewe ni mwana jf mwenzangu rafiki yangu ktk pm naomba unipeushauri juu ya hili suala langu
nimeona nitafute mpenzi mapema ili niweze kupata familia yangu
#love_iz_must_if_u_have_feeling

mtoto bado mbichi, unafaa kwa supu wewe...
 
Unajua unapo amua kuolewa ni lazima uwe na historia ndefu na anae kuja kuku oa, nimeweka hii ili nipate ushauri na niweze kujua mambo mengi zaidi kuhusu love, but ushauri mlio nipa nitaufanyia kazi coz ilikuwa ndiyo dhumuni langu!

Soma mwaego ili uji chagulie unaemtaka
 
Unajua unapo amua kuolewa ni lazima uwe na historia ndefu na anae kuja kuku oa, nimeweka hii ili nipate ushauri na niweze kujua mambo mengi zaidi kuhusu love, but ushauri mlio nipa nitaufanyia kazi coz ilikuwa ndiyo dhumuni langu!

sijui


mda na historia bila penz la kweli haina maana

LOVE is natural you dont learn ila sex hapa ndo nyumbani kwasababu umekaza ngoja wakufukunyue
 
Akili ishavurugika,ngoja nikamuite yule mbea ashuudie!!

african_man_laughing_with_hands_on_head_BLD029779.jpg
 
Nina umri wa miaka 20 na kwa sasa nahitaji kuwa na mpenzi ambaye ni lazima aje kunioa
SIFA
1.awe anajitambua yeye ni nani na anatakiwa afanye nini.
Hivyo kama wewe ni mwana jf mwenzangu rafiki yangu ktk pm naomba unipeushauri juu ya hili suala langu
nimeona nitafute mpenzi mapema ili niweze kupata familia yangu
#love_iz_must_if_u_have_feeling

Ni PM kwa mawasiliano
 
Karibia napata mke humu jf.
Cc: vanesa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom