TUMBOO
JF-Expert Member
- Jun 27, 2014
- 3,848
- 2,051
mmmmmmmmh una mambo wewe
Ushawahi yaona wap mambo yangu
mmmmmmmmh una mambo wewe
ushawahi yaona wap mambo yangu
Nina umri wa miaka 20 na kwa sasa nahitaji kuwa na mpenzi ambaye ni lazima aje kunioa
SIFA
1.awe anajitambua yeye ni nani na anatakiwa afanye nini.
Hivyo kama wewe ni mwana jf mwenzangu rafiki yangu ktk pm naomba unipeushauri juu ya hili suala langu
nimeona nitafute mpenzi mapema ili niweze kupata familia yangu
#love_iz_must_if_u_have_feeling
Unajua unapo amua kuolewa ni lazima uwe na historia ndefu na anae kuja kuku oa, nimeweka hii ili nipate ushauri na niweze kujua mambo mengi zaidi kuhusu love, but ushauri mlio nipa nitaufanyia kazi coz ilikuwa ndiyo dhumuni langu!
Unajua unapo amua kuolewa ni lazima uwe na historia ndefu na anae kuja kuku oa, nimeweka hii ili nipate ushauri na niweze kujua mambo mengi zaidi kuhusu love, but ushauri mlio nipa nitaufanyia kazi coz ilikuwa ndiyo dhumuni langu!
kuna watu wanataka kuzimia nikikujibu hakikisha kuna ambulance karibu
Nina umri wa miaka 20 na kwa sasa nahitaji kuwa na mpenzi ambaye ni lazima aje kunioa
SIFA
1.awe anajitambua yeye ni nani na anatakiwa afanye nini.
Hivyo kama wewe ni mwana jf mwenzangu rafiki yangu ktk pm naomba unipeushauri juu ya hili suala langu
nimeona nitafute mpenzi mapema ili niweze kupata familia yangu
#love_iz_must_if_u_have_feeling
Je huu umri wa miaka 20 umeufikia lini wakati kwa profile yako inaonesha umezaliwa Mei 19, 1995....?
huwa siweki details zangu kamili mitandaoni
Msimu wa mapenzi huu
love iz must
20 yrs darl...we ulikuwa unawaza nini?
tangu nijitambue sijawahi
Msimu wa mapenzi huu