Samahani,naomba ushauri wako hapa!!!

Samahani,naomba ushauri wako hapa!!!

Nina umri wa miaka 20 na kwa sasa nahitaji kuwa na mpenzi ambaye ni lazima aje kunioa
SIFA
1.awe anajitambua yeye ni nani na anatakiwa afanye nini.
Hivyo kama wewe ni mwana jf mwenzangu rafiki yangu ktk pm naomba unipeushauri juu ya hili suala langu
nimeona nitafute mpenzi mapema ili niweze kupata familia yangu
#love_iz_must_if_u_have_feeling

Soma kwanza watakuja wenyewe! What if asipokuoa??
 
Kaa darasani wewe mtoto sikiliza walimu wanachofundisha....mapenzi yapo tu hayaishi
 
Ushauri wangu kwako soma kwanza sio unawaza kuolewa hata shule hujamaliza,
 
Nina umri wa miaka 20 na kwa sasa nahitaji kuwa na mpenzi ambaye ni lazima aje kunioa
SIFA
1.awe anajitambua yeye ni nani na anatakiwa afanye nini.
Hivyo kama wewe ni mwana jf mwenzangu rafiki yangu ktk pm naomba unipeushauri juu ya hili suala langu
nimeona nitafute mpenzi mapema ili niweze kupata familia yangu
#love_iz_must_if_u_have_feeling

Miaka 20..broken family..lack of education..You need help!
 
listern to me do this mke / mume mwema anatoka kwa Bwana mean pray Mungu atkupa huyo MTU...coz imeandikwa pesa na dhahabu mtu hurith kutoka kwa babaye
 
Back
Top Bottom