Salute kwa waliosoma PCB/PCM

Ni sawa ila tatizo ni elimu yetu,iko examinations oriented (ukifwatilia history ya greatest scientists and innovators walizingua shule) ,sasa bongo embu wazia ugunduzi kama Ndalichako hatakuacha uchi!after all africa everything almost ni politics tu
 
Nani kakuambia hayo masomo ni magumu?? Ugumu unatofautiana kuna wengine history, kiswahili na English ni masomo magumu. Wengine mtihani wa hesabu kabla hatujaingia kwenye chumba cha mtihani tulikiwa tumeshahesabu A.
Mkuu ndio wewe nini?? ulikuwa unafeli HISTORY, kwa madai kuwa ni ngumu sana kuliko PHYSICS
 
Hahaha,ni kweli!
Nilisoma PCB. Imechangia sana kuharibu maisha yangu especially Physics. Lakini si haba. LA msingi tuwasaidie watoto kufanya right choice bila kutaka sifa

Sent using Jamii Forums mobile app
ni sifa KUFAULU science sio sifa KUSOMA science,ivyo kabla ya kumshauri mtu kusoma science,au kusoma sayansi inabidi ufanye tathmini ya kina ya uwezo wa mtu ,mazingira,shule n.k
 
Ni mapenzi au hulka, kama Mimi nilikua napenda sana Sayansi yale mambo ya Calculations nini ndio nikaingia huko, now on nimesoma Engineering mafanikio sio makubwa km zile juhudi nilizokua nafanya nikiwa shule

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
 
Mkuu una Gere na wanasayansi wa bongo, huwezi kujua sayansi kama hujui wenzako miaka ya nyuma walifanya nini hivyo kujua walipotoka ni muhimu sana. Wabongo wamegundua vingi na wanaendelea kugundua nenda SUA utawakuta panya wa kutegua mabomu, Power bank za PUKU ni mbongo na vingine vingi ambavyo havitangazwi, pia kusoma sayansi sio lazima wote wawe wagunduzi kama ulivyopost, wengine wanaishia kuwa operators tu. Punguzeni kujua sana, nyinyi ndio mnawaambia watoto sayansi ni ngumu Eti kwa kuwa mzazi ilikushinda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mapenzi au hulka, kama Mimi nilikua napenda sana Sayansi yale mambo ya Calculations nini ndio nikaingia huko, now on nimesoma Engineering mafanikio sio makubwa km zile juhudi nilizokua nafanya nikiwa shule

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
Wanasayansi hawathaminiwi nchi nyingi za africa ndio maana ukiona mtu yupo vizuri kichwani na ana information au kapata chance za majuu analala mbele!
 
Nilisoma PCB...kilicho nifanya nisome hasa mkumbo na ushawishi kutoka kwa family na friends..kua utaonekana mtabe mtoto wa kiume utasomaje arts bhana..
Kusema kweli PCB sio lelemama kuna jamaa zangu kama wawili walikuaga kama machizi.
Ila nashukuru Muumba nilipiga shule nikaingia chuo cha Afya nikapiga kozi ya Afya..
NOW nakula hela ya serikali..
Ila PCB ni msuli tena msuli kweli..penye ugumu ndo penye mafanikio.
Ila nw natamani sana kozi za uchumi mana kuna watu wanavuta hela sio za kawaida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengine tulisoma PCM by default. Mazengo Technical school ilikuwa mkimaliza form two, masomo kama history, geography na biology mnatupa kule na yanakuwa replaced na technical subjects. Uzuri wa PCM vitu vina formula na hutumii msuli mkubwa sana kuielewa/kuikariri formula sawa na wale wengine wanaopaswa kukariri miaka na matukio tofauti
 
Ugumu wa hesabu umeanza lini? Nikijua kesho nina mtihani wa hesabu nalala kabisa,
Wacha nichangie mada, Binafsi nilisoma PCM, matarajio kuja Mhandisi ujenzi, Changamoto ni nyingi sana sana ukifika chuo unakua na module nyingi mnoo, Assignment nyingi mnoo, test nyingi, Changamoto nyingi kipindi cha field ni kidogo sana kiasi kwamba hujifunzi vitu vingi mpk unajikuta unaanza kazi mweupe kabisa
Over

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mrefu anae taka kua mfupi ila mfupi anautamani urefu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna somo rahisi ndugu ni mtu tuu mwenyewe, mimi nili ogopa English nikiwa form 2, ilikua ni mziki kwangu nikapenda Sayansi, Ajabu form five nikapenda kasoma art ila English haikuwepo, kufika chuo hicho kiswahili usiskie (ni balaaa) sio hiki cha mtaa tukijuacho kina hesabu hizo ukikaa vibaya unadisko hicho hicho kiswahili,

Mimi niliipenda Sana history, kasoma masuala ya ulimwengu huu na kujua historia ya nchi yangu na nje ya nchi hii , hasa history ya chuo ipo vizuri, kuipenda HS kulifanya maisha kua marahisi kwangu maana ilikua hainishindi

Hivyo ugumu wa somo lolote ni mapenzi tuu ya muhusika, hakuna rahisi kwako na kwa mwenzako,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…