Salute kwa waliosoma PCB/PCM

Creativity ni level za chini sana bongo,hakuna kufikiri nje ya box,mtu akishapata kitengo ni kitambi tu anakifanyia kazi
 
Tatizo ni kuwa elimu yetu iko theoretical sana kuanzia level za chini,na inamuandaa mwanafunzi kufaulu mtihani,si kupambana na changamoto za maisha,sasa mtu mpaka ajielewe anataka nini unakuta ni too late
 

Hizo kozi "rahisi" ulizozitaja zinataka nchi iliyoshiba, nchi iliyokwisha jitosheleza kwenye kekta muhimu kama uhandisi na utabibu. kuna badhi ya mambo ili nchi ifanikiwe inabidi iwe na wataalamu wake wenyewe. Mfano huwezi kukodisha maaskari (madaktari) wakati wa vita, nchi inabidi itumie wasomi wake kutibu wanajeshi walioumia.
 
Hahahaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…