Mtulia amewakosea heshima watu wa kinondoni na watanzania kwa ujumla hivyo ni vema na haki Watanzania(wasimpe) tena kura katika maisha yake ya kisiasa hapa duniani!wanakinondoni tumeamua kusimama na Mtulia
Mpemba wewe utawezaaaaa???Nakwenda kuwa mwendawazimu kwa ajili ya watu wa Kinondoni kule Bungeni, nitalia kwa ajili ya watu wa Kinondoni, kuhakikisha narudisha heshima ya Kinondoni" Mgombea Ubunge jimbo la Kinondoni, Mhe Salum Mwalim.
View attachment 682791
umetishaaaaa.Ataishia kupelekwa milembe hospital iko hapohapo dodoma akipona anarudi mjengoni
Kama ni povu si ufue kabisa ubongo wako ung'aePovu la nini mkuu. Ungenijibu tu
Hili jukwaa huru ila tunapoona mazezeta ambao ubongo umejaa lamii lazima tuwaambie ukweli,sababu we unajiona mjanja kumbe umepiga msamba katikati ya mfereji wa maji taka uwazi ukiwa umeachiaKama hujui ubunge ni nini, basi kichwani umejaa kinyesi, hili ni jukwaa huru, lazima tutofautiane mitizamo, ukitaka tufanane mitzamo utakua punguani mkuu, hata wale wenye mtizamo tofauti na wako fahamu wanakuona ni mjinga tu, huu mchezo hautaki hasira
maelezo yako ni kama vile upo moyoni mwangu, hata Mimi nakuona kama maelezo yako yanavyojieleza,Hili jukwaa huru ila tunapoona mazezeta ambao ubongo umejaa lamii lazima tuwaambie ukweli,sababu we unajiona mjanja kumbe umepiga msamba katikati ya mfereji wa maji taka uwazi ukiwa umeachia
SisiAnakwenda Bungeni nani anampeleka?
Arudishe tena?Mtulia ndio atarudisha heshima ya Kinondoni..!
Kwa sababu amesema anaenda kulia??Hakika anafaa huyu..chaguo la wanakinondoni