Hatuhitaji mwendawazimu, kuna mwendawazimu kashatuacha njiani huku akiwa hajatimiza hata kimoja.
Hatuhitaji mwendawazimu, kuna mwendawazimu kashatuacha njiani huku akiwa hajatimiza hata kimoja.
kazi ipo hata lugha ya picha hujui?Siasa unaweza ukajifanya mwanamke ili ushinde .
Sasa unaenda kulialia bungeni ili iweje!?
Kazi kweli Kweli.
Kwa mara ya kwanza nasoma post yako ambayo inaonesha hujaelewa vizuri.Siasa unaweza ukajifanya mwanamke ili ushinde .
Sasa unaenda kulialia bungeni ili iweje!?
Kazi kweli Kweli.
Kwa mara ya kwanza nasoma post yako ambayo inaonesha hujaelewa vizuri.
Anyway, "wewe unaona kuwa mwendawazimu bungeni, na kulia kwa ajili ya wanakinondoni" ndio kuwa mwanamke?!. Haya huo uanaume ni upi huko bungeni?...
Yuko wapi Mnyika.....Kubenea......na Mdee?!! Huyu awadanganye hao hao Ufipa wenzake wana kinondoni hatudanganyiki!Nakwenda kuwa mwendawazimu kwa ajili ya watu wa Kinondoni kule Bungeni, nitalia kwa ajili ya watu wa Kinondoni, kuhakikisha narudisha heshima ya Kinondoni" Mgombea Ubunge jimbo la Kinondoni, Mhe Salum Mwalim.
View attachment 682791
MUNGU ndiye muumbaji pekee.CWR2016 ,
Mkuu,
Niwe radhi kwa kuandika post ambayo hujaielewa.
Lugha hiyo niliyotumia ni ngumu kidogo.
Next time nitajitahidi kupunguza lugha ya hivyo.
Ukiambiwa amekula chumvi nyingi unaanza kuwazia ni tani ngapi kala?Nitawashangaa wanakinondoni kama watakweenda kumchagua mtu ambae ametamka mwenyewe kuwa anakwenda kuwa mwendawazimu.
Tujikumbushe tafsiri ya mwendawazimu
mwendawazimu
VOTE WISELY
crazy person
mad person
mentally ill person
Mtulia ndio atarudisha heshima ya Kinondoni..!
Sugu alivunja mic, huyu nawasiwasi vioo havitakuwa salama.stroke,
Mkuu
Wewe acha kabisa ,,, Tanzania tunaombwe la viongozi hasa hawa vijana ndiyo hamna kitu kabisa.
Tatizo sasa na wazee wa zamani pamoja na wazee wa leo nao wanaiga hizo siasa uchwara mbuzi za vijana za kwenda kuwa wendawazimu na kulialia bungeni.
Hatari sana.
Kwa kigezo cha kwenda kuwa mwenda wazimu bungeni au?Hakika anafaa huyu..chaguo la wanakinondoni
Kinondoni hatutaki wendawazimu bali wenye akili timamu.Nakwenda kuwa mwendawazimu kwa ajili ya watu wa Kinondoni kule Bungeni, nitalia kwa ajili ya watu wa Kinondoni, kuhakikisha narudisha heshima ya Kinondoni" Mgombea Ubunge jimbo la Kinondoni, Mhe Salum Mwalim.
View attachment 682791
Kinondoni hatutaki wendawazimu bali wenye akili timamu.
Watuambie atapata wapi pesa ya maendeleo kwa ajili ya Jimbo wakati serikali iliyopo madarakani wqnasema haijaleta maendeleo yoyote?