Salome: Diamond Platnumz ft Rayvanny - General Views

Ebu acha upeku peku Jiran Looh
 
Mkuu....
Naomba nikuje huko mjini Daslam, nikuite aunt....[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Mjini kuna shida wanaume wazee wanapenda mabinti, ma-aunty wanapenda young boys, ni fujo tu. Usishangae aunty anatukanwa na binti wa form four wamechukuliana bwana😀😀
 

Ndiooooo
 

paper work zilifanyika mkuu.Muta Felicien aliekua meneja wa Saida kitambo alihusika since Saida alikua akiuza haki zote za umiliki(sijui kwa kujua au kutojua) kwake.sidhan kama Saisa atafaidika na lolote hapa.

btw:nimependa ubunifu wa video na kiwango cha Raymond..kazi nzuri
 
Siwezi kumponda Diamond kwa kufanya cover ya Saida Karoli la hasha!!!! bali namsifu sana kwa mambo yafuatayo:

1.cover imekuwa taamu kuliko maelezo...boonge la nyimbo

2.Jamaa anajua kusoma nyakati saaaana....wabongo tu ndio mnaoponda kwakuwa mnaufahamu wa Saida...but Domo now anapotoa nyimbo dizain ni kama halengi bongo tuuu,analenga africa nzima....and yeeees hii nyimbo itasumbua mnoooo africa kutokana na mahadhi yake

3.Good strategy,bonge moja la lifting gear kwa msanii wake Rayvanny....tunasubili nyingine atakayofanya na Mavoko

All in All ..tuache utimu uchwara, WCB ni balaaaaaaaah!!!!!! Big up kwaooooo.....
 
Atafutwe Saida Karoli alipwe stahiki yake jamani huyu dada!
 
Haya saida amesha endorse mnapenda simba afeli enheee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…