imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,036
Au wanashawishiwa kwa Ice cream na Juice na hela ya chupi kwa Watoto wa familia masikini.Hakuna mtoto anayepata mimba kabla ya wakati kwa hiyari yake, wanabakwa.
Au wanashawishiwa kwa Ice cream na Juice na hela ya chupi kwa Watoto wa familia masikini.Hakuna mtoto anayepata mimba kabla ya wakati kwa hiyari yake, wanabakwa.
Achana nae huyo,huyo na wenzie chuki yao kubwa kwa Samia sababu ni muislamu tu!!Hizo ni nadharia zako mzee,ushungi haumsuti popote kwa sababu hata dini yake haikatazi mjamzito au mtoto wa kike akijifungua aendelee kusoma,huo ushungi wake wala haujakataza jambo hilo.
Kwa maana hiyo hata kiushungiushungi(kidini yake)bado yuko sahihi sana.
Kuwaruhusu wasome hakuna maana ya kwamba anakubali mimba mashuleni.
Ni vema ijulikane alitoa kauli hiyo akiwa wapi na lini?Source je? Ukiweka ka picha katapeneza
Ni mawazo yake,Mimi Kama mwallimu mzoefu kwa miaka 20 sasa nashauri serikali izingatie pia katika utoaji wa elimu ya uzazi wa mpango,na mabinti wahimizwe katika kutumia njia za uzazi wa mpango ili angalau kupunguza idadi ya mabinti kupata mimba katika umri mdogo.
Nimewahi kuishia mikoa ya mtwara na Lindi Kama mwalimu kwa miaka 10 ,Ni nadra Sana kushuhudia mtoto akibeba mimba angali masomoni,hii ni tofauti na mikoa ya mwanza ,shinyanga na kagera,kwani Hawa wakaazi wa mikoa hii Wana mawazo hasi juu ya matumizi ya njia za uzazi ,lakini kwa mikoa ya Lindi na mtwara mwamko ni mkubwa Sana juu ya matumizi ya njia za uzazi wa mpango.
Tatizo la watanzania tunapenda kupambana na asili na uhalisia,tutafika lakini tukiwa tumechoka Sana!!!
Hiyo ndio sababu lakini hakuna dini inayomzuiya kijana aliyepata mimba kurudi shule"Mimi sikubaliani na suala la mtoto aliyepata ujauzito kurudi shule hata kidogo,hii ni kwa sababu ya Mira,desturi,utamaduni na mazingira pamoja na dini, hakuna dini yoyote inaruhusu mtoto wa kike kupata mimba kabla ya wakati"
Mhe.Salma Kikwete,mbunge wa Mchinga
Akisema hivyo anamaanisha anaporwa wateja wake wa ile taasis ya Mama Salma Foundation? Au alikuwa anataka kuanziasha taasis nyingine ya kulea hao watoto Sasa ameona wakirudi shuleni atakosa wateja?
Huyu ana ugomvi na mama"Mimi sikubaliani na suala la mtoto aliyepata ujauzito kurudi shule hata kidogo,hii ni kwa sababu ya Mira,desturi,utamaduni na mazingira pamoja na dini, hakuna dini yoyote inaruhusu mtoto wa kike kupata mimba kabla ya wakati"
Mhe.Salma Kikwete,mbunge wa Mchinga
Akisema hivyo anamaanisha anaporwa wateja wake wa ile taasis ya Mama Salma Foundation? Au alikuwa anataka kuanziasha taasis nyingine ya kulea hao watoto Sasa ameona wakirudi shuleni atakosa wateja?
Mama nashukuru kwa msimamo huo. Nami nakuunga mkono japo siyo lazima wote wakubali
Wawapongeze pia kwa kazi nzuri.Wawape na posho kabisa kwa ajili ya kutunzia watoto wao huko majumbani
Mkuu Kama sikosei mwaka 2017 mkoa wa Lindi uliongoza kwa utumiaji wa njia za uzazi wa mpango,hivyo kwa kifupi tu wakazi wa mkoa wa Lindi ikiwemo na mkoa wa mtwara wanatumia Sana njia za kisasa katika kuzuia mimba ...asante sana kwa mchango wako.
..je, njia za uzazi wa mpango za ndugu zetu wa kusini na hizi za kisasa, au za kijadi?
..Ni vizuri uka-share taarifa hizo kwani hili ni tatizo kubwa ktk maeneo mengi hapa nchini.
..kuna umuhimu wa kuhakikisha mtoto wa kike anajielewa na anakuwa na malengo ktk maisha yake.
Alikuwa beki 3 nyumbani kwa JK akiwa DC. Ndipo akamuendeleza kielimu kisha akamuoa na Mpambe alikuwa Ditopile mzuzuri (RIP)
Lete ushahidi"Mimi sikubaliani na suala la mtoto aliyepata ujauzito kurudi shule hata kidogo,hii ni kwa sababu ya Mira,desturi,utamaduni na mazingira pamoja na dini, hakuna dini yoyote inaruhusu mtoto wa kike kupata mimba kabla ya wakati"
Mhe.Salma Kikwete,mbunge wa Mchinga
Akisema hivyo anamaanisha anaporwa wateja wake wa ile taasis ya Mama Salma Foundation? Au alikuwa anataka kuanziasha taasis nyingine ya kulea hao watoto Sasa ameona wakirudi shuleni atakosa wateja?
Na kuwa na mtazamo tofauti sidhani kama ni kosa