NIonavyo mimi, kunahaja ya kuja na sheria ya kulinda hadhi ya raisi wa jamhuri ya Tanzania, kwani uraisi sio kampuni ya mtu ambapo hata mke wake anaweza kuwa na kauli kwa watendaji, hebu fikiria Mama Salma anapokea taarifa ya maendeleo ya mkoa, inamaana baada ya hapo yeye ndiye anambrief Raisi? je hapa tutatofautishaje mamlaka ya Raisi na Mke wa raisi.