haki ya nani ipo siku mtasikia au kuona laivu anakagua gwaride. na hao wakuu wa mikoa in maana hawajui itifaki? risala anasomewa ili atoe taarifa gani kwa nani? nijuacho mimi hatima ya risala ni kufikisha ujumbe kunakotakiwa na penye uwezekano majibu au ahadi zitolewe. sasa mwalimu wangu salma, ana majibu gani juu ya mambo mazito ya nchi? kaaaazi kweli kweli, hata mimi sijui anpokwenda mikoani ankwenda kwa nafasi ipi. may be ankuwa amemwakilisha mkuu wa nchi. vinginevyo nadhani si sahihi kufanyiwa afanyiwavyo. kama ingekuwa kukagua maendeleo ya ka epa kake ka wama binafsi sioni tatizo.