Salary slip hewani, no increment no ongezeko

Wadau wale waliojiunga na salary slip portal fungueni mjionee wenyewe mi sina mengi aisee
Ach upumbavu wewe, Kwani uliambiwa kuna nyongeza yoyote itatok mwezi huu? Kw nini mnapenda sana kuwashwawashwa?
 
Inaonekana Unakula Kupitia Nguo Za Langi Za Kijani
 
Pumbavu kabisa.
Hujui salary slip ina taarifa za mtumishi husika,akiweka hapa atakuwa amejianika na kujulikana yeye ni nani?
 
Jiwe halijawahi kuwa na hisia, hivyo pambaneni na hali zenu vinginevyo msubiri mwaka 2020 mtaongezwa kwa ajili ya kuwalaghai kwenye uchaguzi mkuu
Ndo kitakachofanyika.HADAA.
What a shithole government.Na hii ni jeuri ya kuwa na tume ya watawala,na katiba inayowabeba wao.
 
Na bado, mpaka wote mtakaponena kwa lugha moja!
 
Ukuda huo unataka kumchota nani wewe salary slip haitoki kabla ya mshahara labda mwenzetu ushapata mshahara
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…